Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Karibuni Turin mchukue wachezaji mnaowataka.Conte kajiuzulu,we are finished.

Ni habari ambayo imenishangaza sana

..."If someone thinks I am happy just winning the league, they are mistaken. We must continue to build" hayo ni maneno ya Antonio Conte. Ni maneno yenye kuonyesha kwamba huyu ni mtu wa mikakati.

Angalia wakati anachukua timu mwaka 2011 na jinsi alivyoiinua mpaka kuchukua ubingwa!

Hivi ni ishu ya sanchez, vidal na pogba ama kuna jambo lingine?

Pole kwa wana-Juve...
 
My best player ther hujamuweka,anaitwa Joao Carlos Texeira! Safi sana huyu dogo,hebu muangalie kwenye game yetu na Brondly leo saa moja jioni,utaniambia.

If texeira could match hendo's work rate and commitment...atakuwa balaa!
 
anacheza position sawa na ya Coutinho,dogo anajua sana...mtafute youtube umcheki

aisee nimesoma sehemu jamaa wamemuua markovic mbaya, wansema ana goli sita na assist 0 in wakati bebe ana goli 12 na assisst 6

ni kweli?
 
Squad itakayo pambana na broandy Leo
Nasikitika hii gemu sitaiona wakuu msisahau kuleta up to date #lfc
 

Attachments

  • 1405523929534.jpg
    106.4 KB · Views: 50
aisee nimesoma sehemu jamaa wamemuua markovic mbaya, wansema ana goli sita na assist 0 in wakati bebe ana goli 12 na assisst 6

ni kweli?

ni kweli mkuu,ila hatujamsajili Markovic kwa ajili ya kuja kufunga magoli,kwetu magoli sio tatizo kuyapata! After all sio striker,ni kiungo mshambuliaji na bdo mdogo sana! Haters wapo siku zote mkuu.
 
Hivi kwanini fans wengi wa liverpool wanapinga sana idea ya kumsajili Mario Baloteli,,,,,,,?????

Wakati he is one of the best strikerz.
 
ni kweli mkuu,ila hatujamsajili Markovic kwa ajili ya kuja kufunga magoli,kwetu magoli sio tatizo kuyapata! After all sio striker,ni kiungo mshambuliaji na bdo mdogo sana! Haters wapo siku zote mkuu.

agreed,. sasa kiungo mshambuliaji bila assists inakuaje??
 
Gemu ndiyo linaanza

--------------Jones-------------
Kelly------Ilori-----Agger-----Smith
----------Lucas----Rossiter----------
------Teixeira----coutinho-----Suso
-------------Borini--------------
 
Dakika ya 23 Brondby waandika bao la kwanza.

Goli zuri likifungwa na Cristian Norgaad
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…