Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 442
Biashara ya Dejan L.tayari kwa Liverpool by weekend kufanya vipimo
Posted by Ben Smith
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biashara ya Dejan L.tayari kwa Liverpool by weekend kufanya vipimo
Biashara ya Dejan L.tayari kwa Liverpool by weekend kufanya vipimo
naomba link mkuu
Tweet by Ben Smith, Jamaaa wamekubali dau la 20£m na jmosi vipimo
Ben Smith wa BBC abahatishi best kuliko Pearce wa Echo, Liverpool Echo Pearce anapata sababu anakuwa karibu sana na Club ila Ben Smith BBC wanahakikisha mpaka habari ziwe na ukweli ndio anaandika kwa hili kuhusu Lovren nishafurahi Huyo ndio katika wachezaji wote ndio nilitaka awepo na ndio muhimu.
£25m WASTED..
£25m WASTED..
bad news...
Liverpool have confirmed that midfielder Adam Lallana is set to miss the start of the new season after suffering a knee injury in training -Adam Lallana to miss start of season - Liverpool FC
![]()
£25m WASTED..
I am sad and shocked mtu kama wewe unaweza kusema hivyo... Lallana was not given a six weeks contract, he has a multiyear contracts and he is not a chef or a cleaner, he plays soccer... so injuries are part of the game
When ronaldo de Lima got injure and stayed out for two years, a few would say what you just said about Adam!!!
This negative energy doesnt help the club
Adam is in a pool and is expected to swiftly work his way into the first eleven
it may hamper his opportunity to impress, but saying 25M wasted is too much to bear
at least for a true LFC supporter and a an official member!!
Confirmed kaka tumempata!Sasa bado left back tu tuanze ligi
Bring Moreno pls
I am sad and shocked mtu kama wewe unaweza kusema hivyo... Lallana was not given a six weeks contract, he has a multiyear contracts and he is not a chef or a cleaner, he plays soccer... so injuries are part of the game
When ronaldo de Lima got injure and stayed out for two years, a few would say what you just said about Adam!!!
This negative energy doesnt help the club
Adam is in a pool and is expected to swiftly work his way into the first eleven
it may hamper his opportunity to impress, but saying 25M wasted is too much to bear
at least for a true LFC supporter and a an official member!!
Naona Agger ndo kama anaondoka hvyo,i can't see him playing ahead of Lovren,lakini mimi ningekuwa BR,ningefanya hv,Gerald namtoa kbs kwenye 1st eleven yangu,halafu lovren,nambadilisha namba,anakuwa CDM,halafu Agger anaendelea kuwa LCB palepale,au mnaonaje wakuu? Nikimuangalia lovren uchezaji wake ni kama G8 tu pale nyuma,anajua kupiga pasi zenye macho,ni mzuri kwenda mbele,na anajua kutakle zaidi ya SG,fine enough ni defensive minded player.