Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 442
Mr MosDef kama Wajua source, Je unaweza uzipitishia member humu,aliyepewa jukumu la kufanikisha usajiri wa Reus,??? Kutoka Liverpool.lakini yote mema katka kupashana habari.
Kaka Stop using Metro, daily mail, mirror, Daily express, Talksport.com, goal.com, teamtalk.com, Caughtoffiside.com, Marca, AS, tuttosport, Gazzete delo sport, Guardian, The sun, IBtimes.com, daily star, clubcall.com etc, As your sources..Unachanganya watu.
jirani Mosdef salama?
Agosti 8 naongea hapa..salama huko kaskazini?
Emre ni jembe jingine in the makingLovren alishindwa kwenda states, kwasababu ya Visa problems..kabak UK anafanya mazoezi na under21..
Markovic nadhan ni kuavoid risks aisee..ndo maana hata Can kacheza dk25 tu..
hahahahaaaaa...agost 8,sisi sio majirani zako! Majirani zako ni Arsenal,Spurs etc...sisi hatujawahi kuwa na mahusiano yeyote na chelsea,ila siku hz za karibuni mmekuwa wapinzani wetu wakubwa kwenye ligi! Sisi levo yetu pale epl ni Manure tu,na ndo mpinzani wetu namba moja England,pia Everton ndo mtani wetu wa jadi,kwa nnavyokufahamu ,utakuja na hadithi ndefu sana hapa,BTW i really respect what you are recently duin there,at stamford bridge.
Emre ni jembe jingine in the making
But SG is slipping fast aisee, jana he messed up again
agost 8,sisi sio majirani zako!(labda kama ni ujirani wa thread) Majirani zako ni Arsenal,Spurs etc...sisi hatujawahi kuwa na mahusiano yeyote na chelsea,ila siku hz za karibuni mmekuwa wapinzani wetu wakubwa kwenye ligi! Sisi levo yetu pale epl ni Manure tu,na ndo mpinzani wetu namba moja England,pia Everton ndo mtani wetu wa jadi,kwa nnavyokufahamu ,utakuja na hadithi ndefu sana hapa,BTW i really respect what you are recently duin there,at stamford bridge.
hahahahaaaaa...
majimaji ya songea wanajisahau kabisa kwamba embe tunda la msimu
kama ujuavyo mimi sipendi uongo: kwa manufaa ya wanajamvi wote humu. LFC imewahi kumpa kazi Steve Clarke kapteni wa zamani wa Chelsea fc.
2. LFC imewahi kuuza wachezaji wake kadha wa kadha CHELSEA FC, mfano: Raul Meireles, Fernando Torres.
3.LFC imewahi kununua wachezaji waliocheza CHELSEA FC, Dan Sturridge, Joe Cole.
4.LFC imewahi kupewa mchezaji wa CHELSEA FC imtumie kama mchezaji mkopo, Moses.
Sasa katika haya yote bado mkuu Magnificent huyaoni kuwa ni mahusiano? Unaposema hakuna mahusiano yoyote unamaanisha nini?
Liverpool Fc inashea mtaa na Everton, sawa tu na Fulham inavyoshea mtaa na Chelsea Fc.
Mahusiano yetu yalifikia kilele tarehe 27.April.2014 tuliposababisha mkose ubingwa.:A S-eek:
i was not impressed by Glen, Gerro, Kelly, Enrique, and Allen Sterling is beyond any kops dream, he will surpass all expectations, we need to contract him now and tight him
where were Ibe, Markovic and Lovren?
Mkuu mechi hiyo sikuangalia vipi kolo toure ka-improve nini make galasa letu hilo sijaona ukilikosoa?
Me huwa nasema hapa,imefika wakati wa kumtosa huyu mshkaji benchi watu hamnielewi!
akili ya kuambiwa changanya na yako!
Mkuu mechi hiyo sikuangalia vipi kolo toure ka-improve nini make galasa letu hilo sijaona ukilikosoa?
tuliza mshono dogo... ngoja tukupotezee tu
read my signature