Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,833
- 11,173
Tupo very close kuwachukua full backs Maquin na Moreno!Kiongozi Ayre kafika Spain jana kwa mazungumzo zaidi ingawaje Seville wanamtaka Moreno kwanza acheze Super Cup na Madrid August 20 ndiyo wamruhusu!
Tuzidi kusali/kuswali na kuendelea kuomba!
Tuzidi kusali/kuswali na kuendelea kuomba!
