Tores
JF-Expert Member
- Nov 7, 2010
- 551
- 475
Nimeanza kuwasoma,wenzenu wakipost mnauliza source,nakuanza kuwazodoa Leo hii post zenu source zile zile Moreno,VIP Reus??
Brother kull down endelea kusupport timu yako.........endelea kutupasha habari kaka.......wengi tunakusoma na kukuelewa.......sisi liverpool fans tunaunganishwa na slogan hii YNWA.......together is one....usikatishwe tamaa na watu wanaojifanya wanajua kuliko wenzao.cha msingi tukubali kulekebishana na kueleweshana mambo yanayohusu timu yetu.
