Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Not confirmed yet
 

Attachments

  • 1406905057280.jpg
    1406905057280.jpg
    93.2 KB · Views: 79
Duuu hii kali labda niulize Nina kaenda kufanikisha usajili huwo wa wachezaji wawili huko spain ?

nmekuuliza tu kistaarabu..

kuwa habari za kuwa Ayre yupo Spain ulianza kuziona lini..na zilikuwa exculsive kwako muda wa saa ngapi??

kuna kitu nataka nikuelekeze!!!

kistaarabu tu..
 
nmekuuliza tu kistaarabu..

kuwa habari za kuwa Ayre yupo Spain ulianza kuziona lini..na zilikuwa exculsive kwako muda wa saa ngapi??

kuna kitu nataka nikuelekeze!!!

kistaarabu tu..

Wala mie sibishani au kuchukia mpaka utumie neno (kistaarabu) kuwa na amani
 
Katika Football World, kuna watu wanaitwa ITK (ITKs) kirefu chake ni "in the know"..watu hawa siyo journos kabisa, ila wanakuwa na inside infos za Club, wanazipata kutoka kwa inside members au watu walioko karibu zaidi na club ambao wanajua nini kinaendelea katika club..na mara nyingi huwa wanakuwa wa kwanza kubreak infos za usajili kabla ya journos..(japokuwa mara chache sana wanakuwa right, ndo maana huwa siwaamini.kabisa)..LFC tunao kama Kina Jay Riley, adam philips, Karlton, Joseph Musker, Graeme kelly, Kuna jamaa anajiita "money sponge" na wengine kibao sana (na am telling you hakuna team yenye ITK wengi kama LFC)..na wote hao niliowataja wamejazana twitter na they have a lot of followers.

Katika hao, the most reliable ITK ambaye anakubalika na LFC fans twitter ni Jay Riley (he broke the ishuz of Suarez from Ajax, downing, Aquilan, Costa, Willian, Markovic, Dossena, Lovren etc etc)..

Sasa tarehe 13 july akatweet kuwa LFC wanamtaka REUS( he twitted it, when nobody expected this kinda thing)..all LFC fans across the world tulikuwa tunawaongelea kina Markovic and (Di maria)..ambapo kesho yake yaan 14july news about Markovic kusajiliwa na Liverpool zilikuwa confrimed na clubs zote mbili..sasa baada ya hiyo tweet kuhusu reus, twitter brokedown (majority wanamwamini sana jamaa)..

And you know how twitter and transfers work, ishu ikaErupt, Everybody (LFC fan) was tweeting about REUS..mpaka leo hii si kwenye twitter au instagram, fans are still sending the word "REUS" Kwenye official page za LFC (twitter & instagram) kila wakiamka au wakijisikia..later that nught akina MUDDOCK wa Mirror wakaibuka na habar kuwa LFC tunawataka Reus, vidal and Pogba..ishu zikaErupt zaid..Metro came in and used the same source, websites uchwara zote zikaadopt hii ishu, na ukifatilia chazo kilikuwa ni ile tweet ya JAY RILEY (@Jay_78_) you can follow him on twitter..

NOW, watu wakawa wanasubiria BARRET, PEARCE, SMITH, au hata kina Neil jones wa Echo waje kuthibitisha..

BUT, tarehe 14july Barret came out with the statement from the Club..he tweeted it.
 

Attachments

  • 1406916237070.jpg
    1406916237070.jpg
    21.1 KB · Views: 96
Baada ya hiyo tweet BARRET akatoa pia Comments zake

Hiyo haikutosha, sisi kama binadam tunakuwa na maswali yetu na mawazo yetu pia..watu wakaanza kuhoji mbona LFC hawajarule out rumours za kina Di maria, Benzema, Falcao, Javi Martnez, afu suddenly wanakuja kurule out kwa nguvu zote hii ishu ya Reus!!! Tena kwa kumtumia local journo??!!!...

RUMOURS zikazidi kusambaa, everywhere ikawa ni Reus, Reus, Reus, mapaka juzi hapa ambapo BenSmith akaamua kutweet, baada ya kupokea maswali mengi sana kutoka kwa watu mbali mbali kuhusu Reus..
 

Attachments

  • 1406916332638.jpg
    1406916332638.jpg
    23.6 KB · Views: 88
  • 1406916686380.jpg
    1406916686380.jpg
    27.9 KB · Views: 82
Jamani, Reus kwa sasa, its not happening, na.hatuwez kurule out kabisa kwani mambo katika mpira yanabadilika ndan ya sekunde tu, asa katika haya mambo ya usajili..

Reus ni established WC, kumtoa Dortmund.kumleta LFC, huku team kama Bayern au Madrid zikimtolea macho ni kazi jamani, atleast tungekuwa na kina comolli wangejaribu, lakin syo akina Ayre, afu ndo kwanza tunarud UCL, na tusingepotea hiyo miaka Mi4 Iliyopita ingekuwa rahisi sana kumconvice..

Marco Reus ni Mchezaji MKUBWA sana Jamani, Barca went there before the world cup, lakin Dortmund refused hata kuongea..

NA kama LFC wanamuhitaji huyo REUS itabid waende Full..huyu siyo Sanchez aisee..lazima ukaanze na £45 kwenda juu na mshahara wa 150k na kuendelea..unaweza ukampata..lakin ukisubiria mpaka utrige release clause yake 2015 ambayo ni cheap utapotea..coz Bayern wanasubiri hicho hicho, madrid wanasubiri hicho hicho..haya sasa imetokea umetriga hyo clause na madrid wametriga hyo clause..will he choose LFC over Madrid????

Hakuna mtu ambaye hatak kuwa na mchezajj kama REUS kwenye team yake..lakin kwa sasa lets be realstic aisee..tusubiri labda tutapata habari njema huko mbele, transfer window kufungwa ni bado sana kufungwa..but for now TUEGEMEE ZAIDI KWENYE UKWELI..tulishindwa kwa Willian, MK, costa, so KAMA tukipull out hiyo ishu ya reus itakuwa ni sikukuu kwa kila shabiki wa LFC...

Lakini kwa sasa, lets just talk about Moreno and Javier hizo ndo realstic targets za LFC kwa sasa.
 
Katika Football World, kuna watu wanaitwa ITK (ITKs) kirefu chake ni "in the know"..watu hawa siyo journos kabisa, ila wanakuwa na inside infos za Club, wanazipata kutoka kwa inside members au watu walioko karibu zaidi na club ambao wanajua nini kinaendelea katika club..na mara nyingi huwa wanakuwa wa kwanza kubreak infos za usajili kabla ya journos..(japokuwa mara chache sana wanakuwa right, ndo maana huwa siwaamini.kabisa)..LFC tunao kama Kina Jay Riley, adam philips, Karlton, Joseph Musker, Graeme kelly, Kuna jamaa anajiita "money sponge" na wengine kibao sana (na am telling you hakuna team yenye ITK wengi kama LFC)..na wote hao niliowataja wamejazana twitter na they have a lot of followers.

Katika hao, the most reliable ITK ambaye anakubalika na LFC fans twitter ni Jay Riley (he broke the ishuz of Suarez from Ajax, downing, Aquilan, Costa, Willian, Markovic, Dossena, Lovren etc etc)..

Sasa tarehe 13 july akatweet kuwa LFC wanamtaka REUS( he twitted it, when nobody expected this kinda thing)..all LFC fans across the world tulikuwa tunawaongelea kina Markovic and (Di maria)..ambapo kesho yake yaan 14july news about Markovic kusajiliwa na Liverpool zilikuwa confrimed na clubs zote mbili..sasa baada ya hiyo tweet kuhusu reus, twitter brokedown (majority wanamwamini sana jamaa)..

And you know how twitter and transfers work, ishu ikaErupt, Everybody (LFC fan) was tweeting about REUS..mpaka leo hii si kwenye twitter au instagram, fans are still sending the word "REUS" kila wakiamka au wakijisikia..later that nught akina MUDDOCK wa Mirror wakaibuka na habar kuwa LFC tunawataka Reus, vidal and Pogba..ishu zikaErupt zaid..Metro came in and used the same source, websites uchwara zote zikaadopt hii ishu, na ukifatilia chazo kilikuwa ni ile tweet ya JAY RILEY (@Jay_78_) you can follow him on twitter..

NOW, watu wakawa wanasubiria BARRET, PEARCE, SMITH, au hata kina Neil jones wa Echo waje kuthibitisha..

BUT, tarehe 14july Barret came out with the statement from the Club..he tweeted it.

Daaaah!!! Mkuu umenikumbusha mbali sana ulipo mtaja DOSSENA.
ILA UMRMSAHAU Philip Degen,cjui yuko wapi huyu jembe kwa sasa?????
 
Daaaah!!! Mkuu umenikumbusha mbali sana ulipo mtaja DOSSENA.
ILA UMRMSAHAU Philip Degen,cjui yuko wapi huyu jembe kwa sasa?????

Hahahahahh!!!

Degen yupo FC BASEL sahiv..karud nyumbani Uswiss..
 
Mkuu Jaslaws mechi dhidi ya AC Milan inapigwa saa ngapi????????
 
MosDef, i salute u brother!

Kwa mfano hii ishu ya Muheshimiwa Ayre kwenda Spain, watu wanaijua tangu jana saa 8 mchana.(jamaa katania hapo, kuwa inawezekana kamfata ronaldo, manake ubovu wa Ayre kwenye transfers unajulikana, he was just mocking him)..lakin baada ya hizo habari kukazuka speculations kibao kuwa Ayre kaenda madrid kwa ajili ya Moreno, mara isco, mara javier etc..

LAKINI, baadaye usiku, Tony Barret ndo alikuwa wa kwanza kukoconfirm kwenye TimesOnline kuwa Ayre yupo spain kwa ajili ya Moreno na javier, then Echo came in and repot the same thing, basi baada ya hapo ndugu zetu kina Muddock wa mirror wacha wongeze chumvi humo, (si washapata uhakika)..then skysports came in with the news this morning (with the "skysports understands")..

Tweet yenyewe ndo hii..
 

Attachments

  • 1406921023661.jpg
    1406921023661.jpg
    17.9 KB · Views: 77
Last edited by a moderator:
Mkuu Jaslaws mechi dhidi ya AC Milan inapigwa saa ngapi????????

Mechi iyo ni jumamosi saa saba na nusu usiku mida ile ile mibovu, mechi ya dortimund tarehe 10 ndo itakuwa mida poa vilevle chanel itarushwa na chanel ambayo ni reliable.
 
Mkuu MosDef umeelezea vizuri sana nadhani jamaa atakuwa amejifunza kitu. Ywna!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom