Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

I told you so! Invisible! 🙂
 
Liverpool fans will dream again now... until the next crisis
 
yaani leo Reina hjapata misukosuko kabisa
 
Tehe tehe...pamoja na kubebwa na Refa mambo doloooooooooo,yaani mpaka dakika ya 97...lol,Hongera zenu Liverpool
 
Duh!! hongera MTM...nilisema Liverpool wamebakiza mechi mbili msimu huu, mechi ya kwanza tayari bado ya pili.

...si utaje tu kuwa ni Jumatano na Arsenal!...
 
yaani leo ni kama Simba kumfunga Yanga vile........leo kusema ukweli Liver wamebebwa saaana na Refa...duuhh
 
Mi nimecheka sana hapa, jamaa pamoja na kubanwa katumia nguvu zote kuhakikisha anaweka mpira kimiani. Jamaa yangu akajikuta anatukana tu, nikakiri kweli jamaa na Man U kiukweli!

Ila kusema ukweli Rio Ferdinand keshakuwa MZEE,kazeeka yaani
 
Ila kusema ukweli Rio Ferdinand keshakuwa MZEE,kazeeka yaani

True Babu inabidi atafute replacement.........yaani hata kwenye World Cup nitaishauri jopo la mafundi wasimtegemee sana .......yaani hana mbio kama zamani
 
Mndundu sema Mkuu wangu......naona leo Kimyaaaaaa
 
Safi sana wazee leo nilikuwa nanyi msimamo waligi upo vizuri!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…