Kiukweli anahangaika baada kukosa remy angetufaa ilakiburi chake kitatucostduh! yaan huyu BR naona kama vile anatafta striker kutoka Africa balaa, bora hata akamchukue cavani
Sijui...Labda BR anajua akifanyacho.He knows better than us.
Sasa wadau kuna habari zimeibuka sasa hivi kwamba LFC wameamua kuachana na ishu ya Moreno na sasa BR anaona ni vema kumsajili ROJO.
Sasa wadau kuna habari zimeibuka sasa hivi kwamba LFC wameamua kuachana na ishu ya Moreno na sasa BR anaona ni vema kumsajili ROJO.
Yaani huwezi kuuza striker wa £75m halafu unataka kumreplace kwa free agent player! LFC wanaona ubahili gani kuspend hizo hela za Suarez kwa striker aliyeimarika na mwenye ubora? Hata kabla Suarez hajauzwa tayari tuliambiwa BR anatengewa £70m za kuongeza depth, hizi za suarez ni ziada. Huu ubahili wa kukimbilia striker wa bure utatu-cost.
Yaah toto tundu angekuwa chagua bora. Ila mkuu jitihada na kilio chote hiki ni kwa ajili ya kureplace pengo la suarez, labda tu sio perfect replacement ila jitihada zote hizi ni kuziba pengo lake.Issue sio kum-replace Suarez lakini kwenye ubahili nakubali BR kazidi, aliona kapga dili kumleta lambert kwa m4 kumbe kalamba galasa. Asa iv anataka kuleta galasa jingine si bora alichukue toto tundu li balotell lipo sokoni kwa m14 angalau linaweza kutusaidia kupgania tittle licha ya madhaifu ya kitabia lilonayo.
Kama binaadam anamapungufu yake etoo sio wakumtegemea tena akupe ubingwa.
Yaah toto tundu angekuwa chagua bora. Ila mkuu jitihada na kilio chote hiki ni kwa ajili ya kureplace pengo la suarez, labda tu sio perfect replacement ila jitihada zote hizi ni kuziba pengo lake.
Yaah ni kweli mkuu, inashangaza hata pundits wa UK wanaona kama kuondoka kwa suarez basi ndo LFC hatupo kwenye ramani hata ya top four! Sturridge asipopata injuries za mara kwa mara atawashangaza wengi. He is a good striker on air, movement, pace, positioning, accuracy etc! Tuombe tu majeraha yamuepukeNi kweli mkuu lakini hata kama tukipata anayefikia angalau nusu ya kiwango cha suarez sio mbaya coz bado tunastriker mkali mnyama sturridge.
Habari njema kwa wanakops
Nimeiona sehemu kama ni hivi its good though
yaani mimi nimechoka na tetesi.....naomba hii iwe kweli......maana tokea tumeanza kusikia habari za moreno sasa ni mwezi na zaidi.
Akija watakuwa wametutendea haki ngoja tusubiri official report