Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Jana kulikua na wakaanga sumu sana kule kwetu..!!
Kwa style mnayocheza na jinsi Southampton wanavyowapeleka sitashangaa habari zenu zikawa kama za OT au mbaya zaidi
 
Dogo Sterling anatereza kama kapakwa sabuni, Kwa nini Arsenal walidharau kumsajili?
 
Lucas yuko slow mpaka apigiwe Kelele Komen wa Southampton ile na Dortmund alikuwepo uwanjani kafanya homework yake vizuri kwa Coutinho na Raheem hawa Southampton wametukosa hapa la pili
 
Hawa Southampton wamebadilisha mchezo mbayaaa!!
 
Jana kulikua na wakaanga sumu sana kule kwetu..!!
Kwa style mnayocheza na jinsi Southampton wanavyowapeleka sitashangaa habari zenu zikawa kama za OT au mbaya zaidi

Kwenu kutakuwa na #WakaangaSumu wengi kila mechi, Mlizidi kuchonga enzi za SAF. Muda wenu kuwa mnatazama juu. Liverpool wasipoangalia wanaweza kupigwa ubaya leo
 
Reactions: Mbu
joe Allen katoka nani Lucas Huyu naye ndio Kabisa Can hayupo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…