acha na mzee wa kupaki basi huyo
Mmm ajitambuii ???.Br kakosea huwez kuwa unaitaj ucl na ukasajil mchezaj kama mb hajitambui na hana kas
Mna kz ya kuota mchana peupe! Kz hiyo tunaiweza sisi Chelsea na so timu ingine! Nyie nendeni ktk hayo machinjio ya Etihad mkachinjwe!
Hapana mkuu nakataa kuhusu kasi na MB!
Kafunga mabao 30 ktk mechi 56 za EPL hii ni sawa na bao 2 kwa kila games 3!Stat haziongopi na hii rekodi ni ya kujivunia!
Tatizo la MB ni nidham nje na ndani ya uwanja na wala sio kasi
Hii deal inasemekana kama deal Balotel isingefanikiwa bus Eto angechukua nafasi hiyo.kwa sasa MB kila kitu kinakwenda vema tusubiri scanning aliyoenda Manchester kupiga.Tayari uzi huko sokonoHeeeeheeeee.....BBC sport wametweet kua Sam Etoo had has medical at Liverpool. and he will sign 1 yr contract.
Lakini it is just a Gossip newz.
msimu upi?
Ulitufunga home and away ukawa wa 3
Ukamfunga Man City home and away ukawa wa 3
Ukapata points 4 kwa Man U ukawa wa 3
Ukapata points 4 kwa Arsenal lkn ukawa wa 3
Stat hazijawahi kuongopa!Hata mwaka huu utakuwa wa 3
Majogoo yatawika tena****
Liverpool mmeuza ferrari mnahangaika na noah
Liverpool mmeuza ferrari mnahangaika na noah
Ni baada ya kuona ferrari inahitaji service mkuu.
Inategemea rulikua tunahitaji gari ya nini... Huwezi kupeleka fereari babati
Kwani mmehama championship? Uwanja? Si palepale?
Babati mmeanza kwenda lini??
Niambie changez zinazowasababisha mgome kuipeleka babati
Mazoezi yanaendelea
Mazee mbona hakuna update yeyote kuhusu bad boy na huyo oldman a.k.a Bwashee toka cameroon?
Ukimuona ballo ndani forget about bwashee! Na ukimuona bwashee ndani ujue dili la ballo chali!