Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

You can say that again, mkuu.

Unajua kuna hii kitu inaitwa fanatism (unazi). Fanatism haipatani kabisa na self-criticism. Fanatism inajikita zaidi kuendekeza a "feel good" atmosphere hata kama atmosphere iko destined for doom.

Self-criticism is the most important recipe kwa mtu yeyote anayePANGA (siyo anayePENDA) kufanikiwa. Usipofuata falsafa ya self-criticism na ukishindwa unaishia kusema "ah, hata hivyo nimejitahidi" - and this is NOT the LFC way. LFC doesn't belong to the "nearly men" bracket. LFC belongs to "champions" fraternity.

Tunahitaji kuanza tena kuijaza ile trophy cabinet pale Anfield. And for me, Mario is not that missing piece in this 20-odd year puzzle!!

We have a fantastic coach in BR. For me, BR could be the Bob Paisley of this generation, but he shouldn't let himself bullied or pressured to fulfil political agendas.

well said tisha. kuna watoto humu ndani wameanza kushabikia Liverpool juzi tu, so inawezekana hawajui LFC siyo timu ya kuegeshaegesha kama akina Chelski
 
Jamani eeh...kwa mara nyingine,siku nyingine tena.,yule dogo matata sana pale LFC ambaye pia ni mchezaji kipenzi wa The Magnificent,katupia tena kambani,Joao Carlos Texeira,leo akifunga goli la ushindi! Coutinho and co. Watch out,this brilliant boy next season gonna make u warm the bench...stay tuned!
 
Ayaaaaa, mboni ni dada yetu ila sitofurahia kabisa Bwashee kuvunjwa miguu na watoto, Bwashee nae aache tamaa, si astaaf???

Mwache bwashee asanye za uzeeni labda anaweza akapata surplus money dada yetu akafunguliwa television station yake.
 
Balloteri kashasajiliwa? Liverpool msimu huu mnatwanga pesa kama Sokomoko baada ya kupata mshahara wake.
 
Mwache bwashee asanye za uzeeni labda anaweza akapata surplus money dada yetu akafunguliwa television station yake.

Hivi dada yetu ni memba humu JF?

On the serious note... am very happy kwa usajili wa bad boy Super Mario Balloteli!
 
Hivi dada yetu ni memba humu JF?

On the serious note... am very happy kwa usajili wa bad boy Super Mario Balloteli!

Sista atakuwa memba ila ngumu kufaham coz tunatumia feki ids. Usajil uko poa kabisa na itakuwa shwari zaidi zile tabia zake akijirekebisha.
 
Ulitufunga home and away ukawa wa 3
Ukamfunga Man City home and away ukawa wa 3
Ukapata points 4 kwa Man U ukawa wa 3
Ukapata points 4 kwa Arsenal lkn ukawa wa 3
Stat hazijawahi kuongopa!Hata mwaka huu utakuwa wa 3

Majogoo yatawika tena****



Mtatuheshimu tu mwaka huu! Nyie ongeeni tu
 
Rick Lambaret,
Adam Lallana,
Mario,
Dan Sturridge,
Rahim,
na Eto'o?

kazi mnayo aisee...
cc.Mosdef
 
Rick Lambaret,
Adam Lallana,
Mario,
Dan Sturridge,
Rahim,
na Eto'o?

kazi mnayo aisee...
cc.Mosdef



Wameuza Suarez sasaiv wanahangaika kununu Strikers!

Kesho ndio kipimo chao! Ntakua ktk huu uzi wao kulisongesha!
 
Rick Lambaret,
Adam Lallana,
Mario,
Dan Sturridge,
Rahim,
na Eto'o?

kazi mnayo aisee...
cc.Mosdef

Muungwana Mario atacheza kesho? Mimi namkubali sana, hata waingereza wanamkubali make walimpokea kwa shangwe wakati anaingia Meliwood
 
Naona kesho mbali tuwapige hawa man city ,naandaa kabisa mvinyo wangu taratibu liverpool wakinipa raha
 
Muungwana Mario atacheza kesho? Mimi namkubali sana, hata waingereza wanamkubali make walimpokea kwa shangwe wakati anaingia Meliwood

hataweza kucheza maana kufikia ijumaa saa sita kuna baadh ya terms walikuwa hawajakamilisha bt atakuwepo kwnye game ya Tot.
 
Mambo yanaenda kasi sana,ila striker wetu yule sturridge nadhani apunguze ubinafsi na kujiangusha hovyo ndani ya boksi ikiwa ni mbinu za kuombea penalt.
Ujio wa MB ni mzuri sana hasa ikizingatiwa kwa kipindi kirefu timu yetu haikusajili mchezaji mwenye jina kubwa. Kuhusu Etoo,yani naomba asisajiliwe kipupwe na kiangazi,masika na vuli...Maana tunakuwa kama tumeishiwa wachezaji wa kusajili bwana.

"Nlikuwepo":bolt:

well said!
 
nafurahi kuona hata wapambe wa timu nyingine wanapita humu... it shows that we are a force to be reckoned
 
Back
Top Bottom