Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Watu wanaweza kusema labda nayaandika haya kwasababu ni mdau wa Majogoo lakini siyo jambo lakufichika kwamba MB wa Inter enzi za Maureen siyo huyu anayesajiliwa kutoka AC. At that time he was 18-19 and now he is 24.

Kama ambavyo wakala wake ametanabaisha, there is no chance for him to make excuses of his age …and nafasi hii aliyoipata siyo yakufanyia mzaha because it might be his only chance to prove wrong all the haters!!

YNWA

Mkuu yaani huyu jamaa atakamua sana and I hope atashine vilevile.

Kingine kikubwa ni kuwa tutafaidika naye sana kibiashara.
 
Naona Morena kapewa shavu...

MANCHESTER CITY:
Hart, Zabaleta, Demichelis, Kompany, Clichy, Fernando, Nasri, Toure, Silva, Jovetic, Dzeko

Subs: Caballero, Sagna, Kolarov, Fernandinho, Milner, Navas, Aguero

LIVERPOOL:
Mignolet, Johnson, Lovren, Skrtel, Moreno, Gerrard, Coutinho, Henderson, Allen, Sterling, Sturridge

Subs: Jones, Manquillo, Sakho, Toure, Can, Markovic, Lambert
 
Da nimeanza kusikia baridi

line up.jpg
 
Mkuu yaani huyu jamaa atakamua sana and I hope atashine vilevile.

Kingine kikubwa ni kuwa tutafaidika naye sana kibiashara.

Uwezekano wakushine ni mkubwa…AC walimtwisha mzigo na kumfanya tegemezi. Kwa liverpool atatungua sana sababu he will have enough play makers…

Hapo kwenye biashara naungana na wewe mkuu…FSG hawafanyi makosa
 
Namba ya jezi 45=4+5=9 nadhani mnaijua hiyo namba. Dogo atatisha liverpool all ze best
 
Back
Top Bottom