Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Bado tuna nafasi jamani,goli moja si kitu,shusheni yanayojiri na wala si kukata tamaa.
Moreno tusimlaumu kwani bado ana mengi ya kujifunza kutoka katika timu.Ikizingatiwa tulikuwa tunamtaka kwa hali na mali.
Huyo ni chaguo letu.

"Nlikuwepo":bolt:

Mkuu tuko pamoja sana ywna.
 
Tukifungwa mechi hii lawama zote nazipeleka kwa BR,huwezi kumuweka benchi Manquillo umchezeshe GJ,hainiingii akilini kbs
 
More updates nazingoia,naogopa kukabwa usiku huu kwenda kwenye vibanda umiza.
Taarifa zije kwa umakini jamani maana presha ni kubwa kwa upande wangu.

Liverpool,Liverpool,Liverpool,Liverpool......

"Nlikuwepo":bolt:

Ucjal mkuu updates utapata za kutosha vp muhongo kafanya yake nini?
 
Bado tuna nafasi jamani,goli moja si kitu,shusheni yanayojiri na wala si kukata tamaa.
Moreno tusimlaumu kwani bado ana mengi ya kujifunza kutoka katika timu.Ikizingatiwa tulikuwa tunamtaka kwa hali na mali.
Huyo ni chaguo letu.

"Nlikuwepo":bolt:

Moreno ni mashine na amecheza vzr leo...kosa alilofanya ni kawaida kutokana na pressure ya game.

Ila timu tunayo wakuu...vijana wanakamua sana probably goal litarudi tu.
 
Aliyetoa pendekezo kuwa SG awe anakaa nje hapo ulipo nahisi unailaumu sana kauli yako!
SG ndiyo pillar yetu bado na ana miaka mingine 2 zaidi ya kutuongoza

Mr Liverpool bado tunamhtaji sana mkuu maini yake bado yanatinga fresh hahahahaha!
 
_77155097_balotellibw2.png
Huyu jamaa ana hasira sana kukosa hii mechi
 
Ninaona matumaini makubwa sana kwenye hiki kikosi zaidi hata ya kile cha mwaka jana.

We need 42 goals from Sturridge and Balotelli combined which is very possible while conceding half of what we conceded last season and we will be the Champions.
 
.....vaa sweta mkuu, hakucheki mtu. Usijepata "flu!" Bure....😉))


#MosKwito !

We subiri zamu yenu itafika. Sijui utajificha wapi maana sisi liver tutawachapa na man city watawachapa......nitakutembelea kwenye jukwaa lenu...worry not.
 
Back
Top Bottom