Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We Need Fabio Borini.
Leo katika pitapita zangu naona habari ya song kuja liverpool.......???????
Leo kuanzia saa 12 na nusu jioni ndo kutakuwa na UCL group stage draw...SS3 wataonesha live! I guess tutapangwa group hili,1.R.Madrid,2.B.Dotmund,3.Liverpool,4.Roma. Kutokuwepo kwetu UCL kwa muda mrefu ndo kutatuponza.
Liverpool will play Middlesbrough at Anfield in the 3rd round of the League Cup.
YNWA
Habari njema.......José Enrique and Adam Lallana both are 100% fit and are consideration for Tottenham match.
Adam Lallana...i can't wait to see him playing for us
RMA na AS ROMA ni posibility, BUT kuhusu BVB i doubt that..Barca and Juve pia are not too FAR..
But nawish for Benifica or Porto, then Juve or any other small side..
Lakin kwa hali ilivyo kuwekwa kwenye GROUP OF DEATH is very much likely..
BUT all in all..just bring Em ON..WE'RE LIVERPOOL BY THE WAY.
....hahahaha! "presha juu juu!"
'hutapata ulitakalo, utapata utalojaaliwa nalo!'