Utakimbia hapa jukwaani km jumatatu na jumanne mlivyokimbia
Ona sasa dua na ulevi wapi na wapi?¡!!!!!
Majogoo au mitetea???? Km ni jogoo ni jogoo mzee ata kuwika hawezi.
Unaweza kushangaa naongea na Chelsea....so size yetu wewe kacheze na watoto wenzio.
Luverpool yoyote yenye Kolo Toure benchi, tayari ni janga. Akiingia tu anakuja kutushambulia wenyewe, mechi tatu anazoingia anafynga moja na ana assist moja.
Johnson alitakiwa awe amepotea pale LFC, na angeenda timu average sana.
Hatuna kabisa cocha wa mabeki na BR sio kocha linapokuja swala la beki, kama angekuwa na defensive mind nzuri mwaka huu tungeweza kuchukua ubingwa.
Daaah mkuu umetumia maneno mazito sana, punguza jazba kuuzwa kwa agger isiwe hivi. Hata kama nikufungwa na city siyo ishu tukumbuke hata last season first 5 game (win 2, draw 2, lost 1) kama kumbukumbu yangu iko vizur. Let us wait tuone nini BR anataka kufanya
Siku hizi huyu BR ananichefua tu,but u have to keep faith in him,kwangu mimi ananizingua tu...nasubiri ani-prove wrong at the end of the season anyway.
Sketo majeruhi!
Ngoja tuone hii partnership ya Lovren-Sakho kama ita work out...#redordead
BR bora angemuacha aende zake barca kipindi kile make toka awali kabisa alionesha si chaguo lake.
Natamani Mods waongeze LIKE ZAIDI YA MOJA NIKUPE 1000 sasaivi.