Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Utakimbia hapa jukwaani km jumatatu na jumanne mlivyokimbia



Ona sasa dua na ulevi wapi na wapi?¡!!!!!




Majogoo au mitetea???? Km ni jogoo ni jogoo mzee ata kuwika hawezi.

Unaweza kushangaa naongea na Chelsea....so size yetu wewe kacheze na watoto wenzio.
 
Unaweza kushangaa naongea na Chelsea....so size yetu wewe kacheze na watoto wenzio.


Saizi yako huyu hapa chini shabiki mwenzio wa LFC.

Mimi sitii neno mtakua mnajibishana wenyewe.

Luverpool yoyote yenye Kolo Toure benchi, tayari ni janga. Akiingia tu anakuja kutushambulia wenyewe, mechi tatu anazoingia anafynga moja na ana assist moja.

Johnson alitakiwa awe amepotea pale LFC, na angeenda timu average sana.

Hatuna kabisa cocha wa mabeki na BR sio kocha linapokuja swala la beki, kama angekuwa na defensive mind nzuri mwaka huu tungeweza kuchukua ubingwa.
 
Ntuzu karibu...baadaye tunaingia hapo London kuchakaza mtu. Unaruhusiwa kuja ili iwe rahisi kutoa huduma ya kwanza kwa jirani yako!
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu karibu...baadaye tunaingia hapo London kuchakaza mtu. Unaruhusiwa kuja ili iwe rahisi kutoa huduma ya kwanza kwa jirani yako!


Hahahaaaaa

Mkulu mtakimbia hili jukwaa lenu.
 
Last edited by a moderator:
Daaah mkuu umetumia maneno mazito sana, punguza jazba kuuzwa kwa agger isiwe hivi. Hata kama nikufungwa na city siyo ishu tukumbuke hata last season first 5 game (win 2, draw 2, lost 1) kama kumbukumbu yangu iko vizur. Let us wait tuone nini BR anataka kufanya

Siku hizi huyu BR ananichefua tu,but u have to keep faith in him,kwangu mimi ananizingua tu...nasubiri ani-prove wrong at the end of the season anyway.
 
MYHEM IN LIVERPOOL CITY.


EVERTON 3 - 6 CHELSEA FC.

habari za mchana majogoo? karibuni sana LONDON.:wacko::flame::flame::flame::flame:


Siku hizi huyu BR ananichefua tu,but u have to keep faith in him,kwangu mimi ananizingua tu...nasubiri ani-prove wrong at the end of the season anyway.
 

Attachments

  • Line.jpg
    Line.jpg
    106.6 KB · Views: 74
  • Line1.gif
    Line1.gif
    26.1 KB · Views: 168
Last edited by a moderator:
BR bora angemuacha aende zake barca kipindi kile make toka awali kabisa alionesha si chaguo lake.

Agger mwenyewe alishasema,hajawahi kutaka kucheza club nyingine tofauti na LFC across Europe,japokuwa alikuwa akipata ofa kibao tu
 
Jamani hii team nzuri sana nawaambieni akina Pazi tuwe na subira tu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom