Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmepoteza nafasi nyingi
Ukweli ni kwamba backline yetu cyo nzuri wakuu maana haiwezekani mechi ya kushinda mapema sisi tunapata sare tena dakika za mwisho kila cku???????
POINTI 7 out of 18 possible points?????
very painful
we jamaa vipi,beki wamefanya kosa gani leo? Lile goli everton walilofunga beki angefanyaje sasa
Kama tutaendelea kuwategemea Manquillo na Moreno basi tutatajie matokeo mabaya zaidi ya haya huko mbele ya safari.
Liverpool ni team ya kisenge sana.
Poleni sn wadau! Kupata sare Sio matokeo mazuri kweni! Msimu Huu timu yenu isipo badilika ata top four mtaikosa!
Baba Kelvin Upo? Habari za masiku? Msalimie sn Gwamahala na Malafyale
Cc: osokonoi nguvu The Magnificent MosDef Okhondima
Poleni sn wadau! Kupata sare Sio matokeo mazuri kweni! Msimu Huu timu yenu isipo badilika ata top four mtaikosa!
Baba Kelvin Upo? Habari za masiku? Msalimie sn Gwamahala na Malafyale
Cc: osokonoi nguvu The Magnificent MosDef Okhondima