Hivi mtu ambaye hata siyo shabiki wa watani zetu anawezaje kuja hapa na kuandika 'Liverfools'/Loserfools'... kwa nini mnalazimisha utani hivyo???
Hao walioandika Chelsick hujawaona? Au unaona upande wenu tu..?? Walikua hawafahamu km Chelsea sio watani wenu?
Tufanye yamekwisha mkuu...! Tuachane na hayo.... Yameshakwisha..!
Hivi mtu ambaye hata siyo shabiki wa watani zetu anawezaje kuja hapa na kuandika 'Liverfools'/Loserfools'... kwa nini mnalazimisha utani hivyo???
Hao walioandika Chelsick hujawaona? Au unaona upande wenu tu..?? Walikua hawafahamu km Chelsea sio watani wenu?
Tufanye yamekwisha mkuu...! Tuachane na hayo.... Yameshakwisha..!
Both Sakho and Lovren are OUT injured..
The only CB's that we've right now are Skritel and Kolo Toure!!!
We've sold Agger to Brondby for how much!!!?? 2million!!!???? and we've loaned all our young CB's (Illori and Coates)..can Lyod Jones from the Academy cover for sakho and Lovren??..No, he isnt ready at all!!!
So if Sakho wont make it kwenye game ya madrid, ts gonna be Skritel and Kolo at the BACK!!!
And as for Lovren, the first grade tear can take about 2-3 weeks, so we've to play isiwe worse than that!!! na isiwe first grade tear!
What a CLEVER Manager (BR) We've Mr osokonoi
selling Agger, loaning all of our young talented CB's and remained with KOLO TOURE to save our arses kwenye time kama hizi!!!
God Help Us!
Ila tuacheni utani mashabiki wa Liverpool kwenye hii thread wanawachukia sana mashabiki wa team zingine hata utoe polite comments,huku nishatukanwa ila tunamalizana kwa kuelewana,mashabiki wa Liverpool humu hawataniwi,kwanza hawataki kuona mashabiki wa teams zingine kwenye thread yao.
.
C.C Grand PA agosti 8 Ntuzu Ngongo Nzi
Mkuu MosDef
Kama utakumbuka wakati skrtel alipokuwa majeruhi, hoja ya kubaki na kolo as a backup cb, iliwahi kuibuka katika moja ya mijadala yetu. BR gambled and as a result amechemka
Agger has been one of the passionate Liverpool player ila kuuzwa kwake might be for the best of the club and himself. Tunakumbuka kwamba alipata tatizo la mgongo toka enzi za rafa na inavyoonekana limekuwa ni tatizo sugu ambalo limeshindika kupatiwa ufumbuzi. Sidhani kama Henry angekubali kuendelea kumlipa mshahara mchezaji ambaye hana uhakika wa kucheza. Kama ni kweli occasionally alikuwa anapingana na system ya BR then, kama angebaki it obvious angekuwa nyuma ya Skrtel, Lov & sakho. I dont think Agger as a vice captain could have swallow that
Illori might be inexperienced, lightweight, rational (like wisdom), but he could have help us.
Kwa coates ndiyo hata siyoni sababu ya BR kumtoa mkopo. Moja ya dhumuni la kumtoa mchezaji kwa mkopo ni kumpatia nafasi ya kucheza and that is not happening with coates, kama vipi waturudishie mchezaji wetu
As well, we have been told Marko might be out for 3 weeks, while Victor valdes rejected the offer of a four days Trial
Mkuu MosDef
Kama utakumbuka wakati skrtel alipokuwa majeruhi, hoja ya kubaki na kolo as a backup cb, iliwahi kuibuka katika moja ya mijadala yetu. BR gambled and as a result amechemka
Agger has been one of the passionate Liverpool player ila kuuzwa kwake might be for the best of the club and himself. Tunakumbuka kwamba alipata tatizo la mgongo toka enzi za rafa na inavyoonekana limekuwa ni tatizo sugu ambalo limeshindika kupatiwa ufumbuzi. Sidhani kama Henry angekubali kuendelea kumlipa mshahara mchezaji ambaye hana uhakika wa kucheza. Kama ni kweli occasionally alikuwa anapingana na system ya BR then, kama angebaki it obvious angekuwa nyuma ya Skrtel, Lov & sakho. I dont think Agger as a vice captain could have swallow that
Illori might be inexperienced, lightweight, rational (like wisdom), but he could have help us.
Kwa coates ndiyo hata siyoni sababu ya BR kumtoa mkopo. Moja ya dhumuni la kumtoa mchezaji kwa mkopo ni kumpatia nafasi ya kucheza and that is not happening with coates, kama vipi waturudishie mchezaji wetu
As well, we have been told Marko might be out for 3 weeks, while Victor valdes rejected the offer of a four days Trial
Ila tuacheni utani mashabiki wa Liverpool kwenye hii thread wanawachukia sana mashabiki wa team zingine hata utoe polite comments,huku nishatukanwa ila tunamalizana kwa kuelewana,mashabiki wa Liverpool humu hawataniwi,kwanza hawataki kuona mashabiki wa teams zingine kwenye thread yao.
.
C.C Grand PA agosti 8 Ntuzu Ngongo Nzi
Mkuu!
Hilo la kuwachukia sidhani kama limefanyiwa uchunguzi wa kina na sidhani kama tunawachukia!
Ukweli ni kuwa tunawakaribisha hapa kutupa challenge zaidi si kuwachukia!Tunahitaji hata wasio MAJOGOO hapa kuongea na sisi!
MosDef kuna updates zozote kuhusu majeruhi wetu hasa Lovren?
Marcovic trained with serbia national team today...atacheza tommorow!!!
Huyu jamaa anajua sana!His pace and his mobility inafanya niamini kuwa its just a matter of time kabla hajaanza kutuinua!
Yeah...he's still adapting, unajua Pale ureno alicheza msimu mmoja tu na Benifica akitokea serbia...nadhan LFC hawakutaka ishu za kumpa msimu mwingine Zaid, coz ni HADHINA, Ndo maana walimchukua Fasta, he's just 20 na ana vitu vingi vya kuprove...Ts just a Matter of Time....Lets see Diamond formation itam-Suit vipi!!!!
Euro Qualification imeisha na sijasikia majeruhi wengine zaidi ya Lovren kwetu!Mechi na QPR then Hull City Tigers hata Kolo sina wasi wasi nae!!Mechi zinazofuata baada ya hapo tunahitaji wote wawe kamili!
Any updates concerning Sakho fitness pls?