Ronaldo amefikia Record ya goal 71 ya All time UEFA Champions League goal scorer ambayo ilikuwa inashikiliwa na Raul Gonzalez Blanco ambaye naye ana goli 71. Akiongeza hapo anavunja record
Goli zote 3 ni ubovu wa beki zetu za kati!Sakho sasa aanze kucheza
Hawa tuliwadhibiti kabisa
Mashabiki wa Liverpool bana hawana cha kushangilia, wamebaki eti buuuu, kama wako kwenye fiesta leaders club. Waliambiwa mapema leo ngoma ngumu hii.
Dogo yupo vizur anastahili pongezi ngoja Man U tuvunje kibubu tumchukue na hizo dolali 800m zinazohitajika atatusaidia......
Oooh. Wanipa moyo wako utahemea nini?
Ronaldo amefikia Record ya goal 71 ya All time UEFA Champions League goal scorer ambayo ilikuwa inashikiliwa na Raul Gonzalez Blanco ambaye naye ana goli 71. Akiongeza hapo anavunja record
Kwa leo mtani ntakupa tu.....mimi leo humu nawapetpet tu sipo kukaanga sumu.
FSG wasipochukua hatua kwa BR, Top four tutaisikia tu!!
Lovren ~ Sakho
Balo~ Lalana
Alen~ Markovic\ Can
Bado hajafika mkuu ana 70 Raul 71 huku ---- messi 69