Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Boom scouters can't believe what is happening!! Really, did you expect to win against Real Madrid? Come on you are better than that scousers...

 
Kumbuka Istanbul 2005. Na alikuwa ni Anceloti huyu huyu..

Ona huyu anavyojifariji? Yaani Loserfool ya Istanbul na Milan ya Ancelloti unafananisha na Loserfool hii isiyo na nyuma wala mbele na Madrid ya Ancelloti yenye world best player? Huko sawa kweli wewe au ndio umebaha!!
 
FSG wasipochukua hatua kwa BR, Top four tutaisikia tu!!
Rodgers hawezi kumaliza msimu huu kama kocha wa Liver, na ninahisi leo inaweza ikawa game yake ya mwisho. Jana niliandika ile nukuu maarufu ile inayosema "Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them", nikii dedicate kwa Ayre na Henry. Rodgers na benchi lake la ufundi ndio wametengeneza tena matatizo ya Liver, wanahitajika watu wengine tofauti kuja kuyatatua, na wakufanya hivyo niwakina Ayre na maboss zake.
 
Where is this wacko biking to? Isn't supposed to get back or still putting that Pepe's jersey?

 
I see some scousers taking photos of the world's best…they love him!!

 
We dont need that ----ing Cunt Rodgers kwenye team yetu!

Kocha m.senge sana!

kocha gani hajifunzi kutokana na makosa???..

Atuachie team yetu bhana..

we've spent 100+mil for what??..kushuhudia mashudu kama haya??

Kocha ni m.senge sana...sjui kina Callagher na jamie redknapp watakuwa wanajiskiaje...waliongea sana kabla ya game hii...kina Callagher washacheza sana UCL, wanakupa ushauri mzuri wa kufuata, then unaenda na mfumo ule ule..4-2-3-1 against madrid???? seriously??? inamaana hata dhidi ya QPR hakuona tulivyopotea first half kwa huo mfumo???..

then eti unakuja kuuleta against RMA???

huyu kocha ni m.senge sana..
 
we paid £20m for Lovren....ndo maana SAKHO anaumiaga sana kuwekwa bench na mpuuzi huyo!

Skirtel anacheza alongside na the shitiest partner katka maisha yake ya Soccer!!!

AGGER atakuwa anacheka sana huko aliko!!!!
 
we paid £20m for Lovren....ndo maana SAKHO anaumiaga sana kuwekwa bench na mpuuzi huyo!

Skirtel anacheza alongside na the shitiest partner katka maisha yake ya Soccer!!!

AGGER atakuwa anacheka sana huko aliko!!!!

Pole sana
 
we paid £20m for Lovren....ndo maana SAKHO anaumiaga sana kuwekwa bench na mpuuzi huyo!

Skirtel anacheza alongside na the shitiest partner katka maisha yake ya Soccer!!!

AGGER atakuwa anacheka sana huko aliko!!!!

Rogers ni kizazi cha BRN hahaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…