Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Chances anazopoteza ni nyingi kuliko
bao anazofunga.
Tena chance za wazi kabisa.
 
Ha,ha,ha tuombe uzima mkuu tuone evolution ya Nunez
 
Overall sare ya jana ni individual erros, kupoteza pasi na robbo kushindwa kuclear mpira, na chance ya wazi tuliyokosa, otherwise sikuona udhaifu wa Macc kucheza 6
 
Overall sare ya jana ni individual erros, kupoteza pasi na robbo kushindwa kuclear mpira, na chance ya wazi tuliyokosa, otherwise sikuona udhaifu wa Macc kucheza 6

Udhaifu wa Macca huwezi kuuona, because anajitahidi ku-cover simple basics za defensive Midfielder.

But its obvious we CANT control games, games zetu nyingi bar Aston Villa at Anfield, zimekuwa ni end to end, source ya kuwa na individual errors nyingi kwenye our back-line, ni kwasababu tuna-concede chances nyingi sana, a strong DM stops that.

Macca had a good second half jana, but a good 6, anampa Macca room ya kucheza at LCM and Szobo at RCM.

Playing Macca at DM, is not a bad idea, but sometimes kutakuwa na games kama za Brighton, ambazo tutahitaji a destroyer/duel monster in the middle ili ku-win na ku-control/out-press teams kama Brighton.
 
Jini halijapata nafasi ya kugusa hata mpira, hadi likataka kuanza kupiga watu nje ya uwanja πŸ˜„
 
Khaa!
Naona sifit kote[emoji23][emoji174].
Basi nipe tu connection ya Trent.


Ulifanyaje ukafika huko Mkuu?
Tupe mbinu ndugu mtanzania mwenzetu.


Nasema uongo ndugu zangu?
Ila madam wewe bwana, kwenye issue serious unaingiza Jokes πŸ˜„, utamkimbiza Mosdef wakati bado tunahitaji kunyonya πŸ˜„ 🀣
 
Ila madam wewe bwana, kwenye issue serious unaingiza Jokes πŸ˜„, utamkimbiza Mosdef wakati bado tunahitaji kunyonya πŸ˜„ 🀣
KhaaπŸ˜‚
Nipo serious sitanii.

Unaweza kuta anayo connection ndugu yenu st Anne huyo nikapaa kwenda uingereza.
 
Nunez magoli anayokosa ni ya wazi sana.
Yaani nafasi ya wazi kabisa ya kufunga yeye ndio anakosa.
Hujawahi kumshuhudia Salah akikosa magoli wewe, hadi akaitwa mchoyo nambari moja dunaini, na ndo campaign yakutaka auzwe ikaanzia hapo, ni swala la muda tu utatulia....
 
Hujawahi kumshuhudia Salah akikosa magoli wewe, hadi akaitwa mchoyo nambari moja dunaini, na ndo campaign yakutaka auzwe ikaanzia hapo, ni swala la muda tu utatulia....
Hamna
Huwa namshuhudia.
Sasa kama watu wenyewe wa kuwapasia ni akina Nunez,bora apambane tu.


Mchoyo kwa sasa ni Diaz..anataka apige chenga afunge utadhani Rey Mysterio wa WWE.

Nunez anabaki yeye na kipa tu
Na bado anakosa!.
 
Hamna
Huwa namshuhudia.
Sasa kama watu wenyewe wa kuwapasia ni akina Nunez,bora apambane tu.


Mchoyo kwa sasa ni Diaz..anataka apige chenga afunge utadhani Rey Mysterio wa WWE.

Nunez anabaki yeye na kipa tu
Na bado anakosa!.
Ikiwa hata penalty watu wanakosa, hata kwenye movements za kutafuta magoli ni kawaida sana. Nyunyezi atawanyunyiza muda si mrefu, atawapuruvu rongi kabisa .
 
Ikiwa hata penalty watu wanakosa, hata kwenye movements za kutafuta magoli ni kawaida sana. Nyunyezi atawanyunyiza muda si mrefu, atawapuruvu rongi kabisa .
Penalty ni kitu kingine bwana.

Hebu acheni kumfananisha Torres na vitu vya ajabuπŸ˜†

Nunez ni mchezaji wa kawaida sana, tofauti na mnavyompamba hapa
 
Jini halijapata nafasi ya kugusa hata mpira, hadi likataka kuanza kupiga watu nje ya uwanja πŸ˜„

Haaland, is struggling a lot this season, Alvarez amekuwa mzuri kuliko yeye, mpaka sasa.

Na, ku-struggle kwa Haaland kunaeleweka, volume ya Chances anazotengenezewa zimepungua sana, no KDB, and Grealish ndiyo amerudi.

Msimu uliopita Haaland alikuwa ana BCMs nyingi pia, but wingi wa chancss alizokuwa anapata, ulikuwa unasaidia sana, he had KDB, Grealish, Mahrez & Bernardo, (creating for him), kutokuwepo kwa KDB (sana sana), kume-effect sana his game.

Pundits wanasema yupo off-form, the answer is NO, its all about being clinical na uchache wa chances anaopita, he's a world class striker, but as you can see, bila good creators output yake inapungua kwa kiasi kikubwa, na set-up ya Guardiola, ina-limit movements zake outside the box.

Ile set up ya Guardiola against Arsenal, anagekuja nayo at Anfield, angekufa mapema sana, its just a shame, Rodri atakuwa amerudi kwenye game yetu, so hatutapata bahati ya kukutana na MF ya Rico Lewis & Kovacic, angekuja na hiyo set-up at Anfield, game ingeisha mapema sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…