Watu hatuoni haya mpaka wachezaji wachoke kwa matumizi ya nguvu bola akiliUjue muda mwingine nawaza hata system yetu ya uzuiaji ni mbovu kwa kweli, sasa ukija kuweka na individual weaknesses ndio kabisa tunazidi kuwa wazi.
Bado Klopp hajajipata kusema ukweli bahati nzuri tunashinda pamoja na kuchechemea kwetu.
Kocho anatia mashaka kumharibu viwango vya baadhi ya wachezaji.
Kumpanga mchezaji nje ya nafasi yake bilazarula ni kumvuluga kiakili.
Kama yule beki 3 gem ya kwanza kukaza anatolewa na hakuna mbadala inabidi awe na roho ngumu kubaki mchezoni kiukweli
Endo ndo haaminiki mana bola namba 10 acheze 6 kuliko yeye.
Wengi tunaangalia mafanikio bila ya kujali tunayatolea jashi kiasigani Kuna baadhi ya gem hatutakiwi kutoa jasho kabsaa ila ndo hivyo
Hem nambie na Hawa washambuliaji 2 na viungo hivi ni sawa kweli hata kama tuna shinda?Hapo kwa Macca kupiga DM badala ya Deep play marker ni kweli hapa Klopp anatudanganya sana na uzuri mpira ni mchezo wa wazi sana. Tunaona Macca anavyo struggle.
Kwa ishu ya kumtoa Tsimikas, nakubaliana na Klopp 100%. Kwa nini? Unahitaji goli kama sio magoli kwa timu kama Everton ambayo toka mpira unaanza kabla ya red card plan game ilikuwa ni Njooni mtushambulie siye twazuia nyuma huku, tukiwapokonya ni counter tu. Sasa baada ya red wakapata sababu ya kukaa nyuma 100%. Hapo inabidi kama kocha uongeze mashambulizi na kupunguza kujilinda, ndio akafanya akiwa na target ya kupata magoli na kuanza ku relax. Na sub pekee ilikuwa na Tsimikas.
Njoo Mkuu,Tupige vyombo😂.Ile Bar pale Maramba ikifunguliwa niite
Niliumia mno😂.dah!,kutoka huku Nanjilinji.Dah.!! Kwa kweli alikugusa usiumizwe saaaaana kwa ajili ya mampira yao, kwa muda tu kisha achia
Vvd na penalty wapi na wapi🤣Vvd is there for You.
Maumivu ya red card ni Makubwa kuliko hata ya goli.Red card zote pamoja na utata wake sawa ila kulikataa lile goli ndio iliharibu kila kitu. Momentum ingekuwa nyingine kabisa.
Hem nambie na Hawa washambuliaji 2 na viungo hivi ni sawa kweli hata kama tuna shinda?
Niliumia mno[emoji23].dah!,kutoka huku Nanjilinji.
Utadhani nipo uingereza
Vvd na penalty wapi na wapi[emoji1787]
Wenye nazo akina Fabinho na Milner wameshaondoka
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni
Milner ni mzuri kwenye penalt
Maumivu ya red card ni Makubwa kuliko hata ya goli.
Kucheza watu wawili pungufu ni kazi pevu sana.
Pengine tusingekuwa pungufu hata tungepata goli jingine .
Kama soon talisman atakua super Captain Chaos then like for like Salah is not needed as such kwa kua mfumo wenyewe utakua tofauti a bit..Ujue kupata like to like Salah’s replacement ni ngumu. Ishu ni kumpata mtu mwenye consistency ya afya ya mwili na akili na awe walau anakupa 25+ G/A. Hapa ni suala la Klopp mwenye kubadili na mifumo ili kuyapata magoli miguuni mwa mchezaji husika.
May Klopp and the Yankees react.DM & LCB are highly needed no debate about it.
That means quality vs quantity.. Ni kweli depth imeongezeka kwamba sio tena timu ya mchezaji yule na huyu mbali ni collective contribution kwa kwenda mbele.. Hawa academy kids being given trials in real games nayo ni next level is kupunguza risk za injuries and saving energy season is still raw..Ukiwa na depth pressure is not your friend.
Remember 2021/2022 tulivyopunguza gap la 12 points to 1 point kwa kipara? Ongezeko la Diaz tu na MFs zilikuwa na fitness, mpaka Klopp aliulizwa do you now enjoy the depth unlike other seasons? Ilikuwa raha kweli.
Hata msimu huu kuna kadepth japo haina quality ki viiiile but better than last season.
Know u see Elliot akiingia unaona huge changes, Gakpo Jota wakianzia bench unaona watu wameingia kubadili mchezo. January wamchukue LCB & DM (Andre). Hapo tunaweza kukimbizana na kipara
Klopp must get this Samba boy at any cost... Kuchelewa akasepa kwingine itakua kosa kubwa. Kind of Enzo mistake aliyofanya Klopp, when talent is spotted with that price tag best idea wrap th dealNaam. Ila option zilikuwa mbili
1. Mchukueni sasa na mtoe £39M
2. Muacheni mpaka january mje mumchukue kwa £19M.
Klopp na rafiki yake Jorg wakaona better January hapa tutamtumia Macca, Jones, Thiago, Bajcetic bahati mbaya hesabu zimekataa kabisaa.!!! Kwa hiyo kwa sasa ni 3 points kwanza, mengine tutajuana mbeleni huko.