Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Yaani nilijua tu
Nilijua tu 🤣🤣🤣🤣🤣
Was waiting for your comment😂😂😂
The boy delivered Miss Liverpool relax he is enjoying himself really much give him some space, 3 points won that th bottom line.

Usimcheke dogo utaelewa yanayowakuta Chelsea na Manchester United pale mbele, hivyo uwe na utulivu. 😝😝😝

YNWA
 
The boy delivered Miss Liverpool relax he is enjoying himself really much give him some space, 3 points won that th bottom line.

Usimcheke dogo utaelewa yanayowakuta Chelsea na Manchester United pale mbele, hivyo uwe na utulivu. 😝😝😝

YNWA
Sasa Salah akija kuondoka hii timu,
Wanachokipitia Utd na Chelsea ndo tutaenda kupitia sisi.

Nyie mnasema Salah aondoke hamtutakii mema kabisa.


Yaani leo Bwana nilijua tu utaingia kumpamba dogo😂😂
Na hivi kafunga😂
Ngoja nicheck marudio bwana nione manuva ya mdogo wako,Jana sikuangalia.
 
Crush wangu sobo
Hana mbambamba huyu dogo
😂 😂 😂 😂 😂 Lo
Sasa Salah akija kuondoka hii timu,
Wanachokipitia Utd na Chelsea ndo tutaenda kupitia sisi.

Nyie mnasema Salah aondoke hamtutakii mema kabisa.


Yaani leo Bwana nilijua tu utaingia kumpamba dogo😂😂
Na hivi kafunga😂
Ngoja nicheck marudio bwana nione manuva ya mdogo wako,Jana sikuangalia.
Kumbe Matip ushambwaga hukoooo....
Crush wako ni chuma kwa kweli.

Haha yaaani wewe unaangalia mech ukitegemea kwamba dogo Nunez ataharibu acha kujitesa bhana dogo mdogo mdogo anazidi kujiamini na kufumania nyavu mechi baada ya mech atakuja kufunga...
Strika ili awe clinical hua ni uwanjani sio pengine Klopp ampe dakika za kutosha...

Salah kuuzwa wala sio mie kura yangu ipo abakie ili mhmhmh FSG kama nawaona wanavyotoa macho kwa ule mpunga... Too bad kwao Salah is the best pia kwa biashara nje ya uwanja hivyo kum dispose sio jambo la kukurupuka...

Muda utasema.

In Klopp i Trust.

YNWA
 
Salah akishika mpira anafyatuka kama Risasi, hana mbambamba.

Abaki
Aongezewe mpunga.

Salah kwa sasa hana mbadala.. na tukimwacha aende kwa kutegemea miguu ya kengeza Nuniez, Jota mzee wa kubadilika
Akiyanani hakuna picha hatutaacha kuona.
😂 😂 😂 😂 😂 Miguu ya nani 😂😂kweli wewe huyu dogo utamwelewa siku magoli yake yakikupa EPL trophy ama UCL maana tayari kashakupa kombe la Ligi msimu uliopita lakini wala humwamini...

Jota nae niniiiiii... Mbona dogo yupo makini sana...

Salah ni pound for pound player best in the squad... Ame mature sanaaaa baada ya Bobby kuodoka amekua sasa ndio mchezeshaji pale mbele Klopp anasema amemuongezea majukumu na so far anayamudu vyema sana.


YNWA
 
😂 😂 😂 😂 😂 Miguu ya nani 😂😂kweli wewe huyu dogo utamwelewa siku magoli yake yakikupa EPL trophy ama UCL maana tayari kashakupa kombe la Ligi msimu uliopita lakini wala humwamini...

Jota nae niniiiiii... Mbona dogo yupo makini sana...

Salah ni pound for pound player best in the squad... Ame mature sanaaaa baada ya Bobby kuodoka amekua sasa ndio mchezeshaji pale mbele Klopp anasema amemuongezea majukumu na so far anayamudu vyema sana.


YNWA
Kwanini Bobby huwa huoni dogo anavyokosa magoli ya wazi??

Jota leo mzuri, kesho anarudi default mode. .ila jota ni mzuri sana kuliko Nuniez.. hana kurembua pale mbele akishika ni kutumia akili tu.

Nuniez hawezi kutuliza akili akifika nyavuni.

Sasa tukiwategemea hawa pekeyao tumekwisha.
Diaz anapendaga aonekane kuwa amefunga kistar.. manjonjo mengi mno.


Salah sina neno naye
Lipo wazi.
 
😂 😂 😂 😂 😂 Lo

Kumbe Matip ushambwaga hukoooo....
Crush wako ni chuma kwa kweli.

Haha yaaani wewe unaangalia mech ukitegemea kwamba dogo Nunez ataharibu acha kujitesa bhana dogo mdogo mdogo anazidi kujiamini na kufumania nyavu mechi baada ya mech atakuja kufunga...
Strika ili awe clinical hua ni uwanjani sio pengine Klopp ampe dakika za kutosha...

Salah kuuzwa wala sio mie kura yangu ipo abakie ili mhmhmh FSG kama nawaona wanavyotoa macho kwa ule mpunga... Too bad kwao Salah is the best pia kwa biashara nje ya uwanja hivyo kum dispose sio jambo la kukurupuka...

Muda utasema.

In Klopp i Trust.

YNWA
LoL matipu ashaexpire
Expire date ishampitia🤣💔

Sobo for life❤️
Mr handsome👌
New comer🥰
Gerrard Jr😍
 
Leo hata siwapongezi kwa ushindi, bali natupa wote wapenda mpira, wapenda utu na wapenda amani, pole kwa uhuni uliomkuta Luis Diaz na tuombe hao wapumbavu waliowateka wazazi wake wakamatwe na waadhibiwe vilivyo.
Wakikamatwa wanyongwe
 
Back
Top Bottom