Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
π π π π π π Lol sworn critic.Captain Marvelous mdogo wako ana mbio kama mshale [emoji23]
Dunia ina matukio usiyotegemea kabisa, dogo anatoka kwenye familia maskini katumia kipaji vyema na kuwainua familia yake na sasa haya yamemkuta.Leo hata siwapongezi kwa ushindi, bali natupa wote wapenda mpira, wapenda utu na wapenda amani, pole kwa uhuni uliomkuta Luis Diaz na tuombe hao wapumbavu waliowateka wazazi wake wakamatwe na waadhibiwe vilivyo.
Raha jipe mwenyewe maisha ndio haya haya... Unakata mti unapanda mti.LoL matipu ashaexpire
Expire date ishampitiaπ€£π
Sobo for lifeβ€οΈ
Mr handsomeπ
New comerπ₯°
Gerrard Jrπ
π π π π π π Kucheka unaongeza siku za kuishi so they say.. Aaa natulia humu humu mpaka kuache kummidisa dogo Nunez wa watu sijui alikufanya aje... Kwa hio ikija ofa ya Salah na Nunez kutoka Uarabuni tuchukue ya Nunez na Salah ibakieππ€π€π€πππBobby hivi wewe huwa hupendi kucheka?
Nimekutag kule utd pita kule ucheke kidogo bwana.
Uzi ukiugusa tu unachekesha hatari πππππ
Anakosa mengi sana tu , he thrives under chaotic situations na so far anazidi kujiamini na kua clinical amebakisha pandogo sana akuzime mdomo wako kabisa watch out buddy... Nunez alikotoka alikua anakipiga kwa mafanikio makubwa sole striker lakini huku mara apangwe LW mara CS nk lakini kote wala hana malalamiko.. Kilichobaki kwake sasa ni Domy acheze behind the front line na sio kuleee anakocheza sasa na magoli yatakua mengi sana kwa kua Domy atamtupia pasi murwa sanaKwanini Bobby huwa huoni dogo anavyokosa magoli ya wazi??
Jota leo mzuri, kesho anarudi default mode. .ila jota ni mzuri sana kuliko Nuniez.. hana kurembua pale mbele akishika ni kutumia akili tu.
Nuniez hawezi kutuliza akili akifika nyavuni.
Sasa tukiwategemea hawa pekeyao tumekwisha.
Diaz anapendaga aonekane kuwa amefunga kistar.. manjonjo mengi mno.
Salah sina neno naye
Lipo wazi.
Mpunga labda tuchukue Summer huko iwapo tu Salah ataforce kuondoka.View attachment 2797363
View attachment 2797364
View attachment 2797366
Mnasema aje tuchukue mpunga winter kwa Waarabu ama tutulie kwanza....
Klopp anasema huyu dogo ana mwili wa miaka 20 20 hivi na sio 30+ na hii inatokana anavyojilonda na kujituma sana uwanjani mazoezini nk
YNWA
Au waje wafungwe Ukonga ili wakabebe Zege kwenye ujenzi wa Mwendo kasi pale Banana mpaka Gomz.Na fimbo za kutosha wachapwe
Siyo unamfunga mtu,jela za ulaya jitu linanenepeana.
Inatakiwa asubuhi fimbo kumi
Mchana hivyohivyo
Na washinde shambani kulima
Jela za Ulaya upuuzi mtupuAu waje wafungwe Ukonga ili wakabebe Zege kwenye ujenzi wa Mwendo kasi pale Banana mpaka Gomz.
Hata akilazimisha kuondoka tusikubali[emoji23][emoji23][emoji23]Mpunga labda tuchukue Summer huko iwapo tu Salah ataforce kuondoka.
Lakini kama hajaforce asiondoke kwasababu sisi mashabiki ndiyo raha yetu yeye kufuga Migoli mengi cuz hata akiuzwa hizo hela hatutofaidika nazo sisi mashabiki bali zitaenda Mfukoni kwa Mzee Henry.
Salah hana mpinzani kwenye 1st ElevenAnakosa mengi sana tu , he thrives under chaotic situations na so far anazidi kujiamini na kua clinical amebakisha pandogo sana akuzime mdomo wako kabisa watch out buddy... Nunez alikotoka alikua anakipiga kwa mafanikio makubwa sole striker lakini huku mara apangwe LW mara CS nk lakini kote wala hana malalamiko.. Kilichobaki kwake sasa ni Domy acheze behind the front line na sio kuleee anakocheza sasa na magoli yatakua mengi sana kwa kua Domy atamtupia pasi murwa sana
Hata Jota nae anarejea taratibu taratibu tu tutaelewana.. Uzuri pale mbele kwa sasa pamesheheni kazi kazi Diaz, Nunez, Salah, Gapko, Jota wote hao wanauwezo wa kubadili matokeo muda wowote.
YNWA
Twende bwana Man Utd ukaongeze siku za kuishi.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kucheka unaongeza siku za kuishi so they say.. Aaa natulia humu humu mpaka kuache kummidisa dogo Nunez wa watu sijui alikufanya aje... Kwa hio ikija ofa ya Salah na Nunez kutoka Uarabuni tuchukue ya Nunez na Salah ibakie[emoji854][emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]
YNWA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Raha jipe mwenyewe maisha ndio haya haya... Unakata mti unapanda mti.
YNWA
Dah jamani[emoji3064]Dunia ina matukio usiyotegemea kabisa, dogo anatoka kwenye familia maskini katumia kipaji vyema na kuwainua familia yake na sasa haya yamemkuta.
Colombia wana uhuni huu sana wa ransom yaaani kule ni jambo la kawaida sana.
Tunashukuru kwa kujali ndugu.
YNWA
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Lol sworn critic.
Wewe haya. Anafumania nyavu au kutoa ma assist kama kawa.
YNWA
π π π π πππππππMdogo mdogo tutaelewana tu ndugu.Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
Juzi kalijitahidi kucheza vizuri.
π π Ingekua mashabiki tuna chetu mfukoni ingekua raha sana... Nahisi kama vile upande wa Salah hii dili wanaitaka kwa sababu ni ngumu sana kuelewa kwa nini siku za mwisho dirisha la summer waarabu walizidisha sana spidi kumhitaji dogo.. Klopp atakua kazini na ma scouts kusaka mbadala wake endapo dogo atafosi kuodoka.Mpunga labda tuchukue Summer huko iwapo tu Salah ataforce kuondoka.
Lakini kama hajaforce asiondoke kwasababu sisi mashabiki ndiyo raha yetu yeye kufuga Migoli mengi cuz hata akiuzwa hizo hela hatutofaidika nazo sisi mashabiki bali zitaenda Mfukoni kwa Mzee Henry.