Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,339
- 30,439
π π π π π Once a Red always a Red ukae kwa kutulia miss Liverpool.Twende bwana Man Utd ukaongeze siku za kuishi.
Wewe umeshikilia LFC tu pekeyake,kwani umekuwa mfungwa?[emoji38]
π π π Utulie dogo Nunez yupo kikazi zaidi ujue.. Klopp hana wasiwasi nae anasema he is coming around mdogo mdogo wewe hapo ndio mwenye papara na huku twashnda naona ingekua vipigo ama sare ungekesha kwq babu kumshughulikia kama Henderson πππSalah hana mpinzani kwenye 1st Eleven
Hao wengine watagombania..
Ila kwa kweli pale mbele ni burudani.
Sawa Bobby..nasubiri wewe na mdogo wako mfunge bakuli langu[emoji23]
Sio kwamba uchoyo kapunguza, yaani kaacha uchoyo kabisaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji23] [emoji23] Ingekua mashabiki tuna chetu mfukoni ingekua raha sana... Nahisi kama vile upande wa Salah hii dili wanaitaka kwa sababu ni ngumu sana kuelewa kwa nini siku za mwisho dirisha la summer waarabu walizidisha sana spidi kumhitaji dogo.. Klopp atakua kazini na ma scouts kusaka mbadala wake endapo dogo atafosi kuodoka.
Kwa huuu moto alionao sasa amekua complete player design fulani kama Bobby anafunga na uchoyo amepunguza.. Liverpool wakomae hakuna kuuza mpaka June 2024 hukoo...
YNWA
Ngoja karudi tena kwenye default mode.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]Mdogo mdogo tutaelewana tu ndugu.
YNWA
Tumgeenda kuchawia waarabu waje kumchukua.[emoji23] [emoji23] [emoji23] Utulie dogo Nunez yupo kikazi zaidi ujue.. Klopp hana wasiwasi nae anasema he is coming around mdogo mdogo wewe hapo ndio mwenye papara na huku twashnda naona ingekua vipigo ama sare ungekesha kwq babu kumshughulikia kama Henderson [emoji23][emoji23][emoji23]
YNWA
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Once a Red always a Red ukae kwa kutulia miss Liverpool.
YNWA
Nyie mnasema Salah mchoyo[emoji23] [emoji23] Ingekua mashabiki tuna chetu mfukoni ingekua raha sana... Nahisi kama vile upande wa Salah hii dili wanaitaka kwa sababu ni ngumu sana kuelewa kwa nini siku za mwisho dirisha la summer waarabu walizidisha sana spidi kumhitaji dogo.. Klopp atakua kazini na ma scouts kusaka mbadala wake endapo dogo atafosi kuodoka.
Kwa huuu moto alionao sasa amekua complete player design fulani kama Bobby anafunga na uchoyo amepunguza.. Liverpool wakomae hakuna kuuza mpaka June 2024 hukoo...
YNWA
Itapendeza sana tukibaki naye mpaka 2024 koz bado kuna nguvu na vitu viingi mguuni kwake vya kutuofferSio kwamba uchoyo kapunguza, yaani kaacha uchoyo kabisaaaa [emoji1787][emoji1787]
Unless unasahau Mane alikua ananuna balaa kwa uchoyo wa hutu dogo.. Juhudi zimefanyika kumuonyesha kwamba ni tegemeo letu pale mbele kufunga na kutengeza.Nyie mnasema Salah mchoyo
Sasa mlitaka atoe pass ambayo anajua inaenda kupotea?
Halafu ukianza kuangalia mpira hivi pale mbele utaona kila mtu mchoyo kwa nafasi yake.
π π π π π Hapana sipendi fujo kabisa aisee uniache kwa wastaarabu hapa Liverpool sio fujo fujo...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe Baba Apostle hupendi fujo.
Sawa Paroko[emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Mimi wiki hii nashinda utd...hadi nipate chaka jipya.
Sawa najua unachukia Tattoo zake wewe ukae kwa kutulia huyu ndio next big thing Liverpool.Tumgeenda kuchawia waarabu waje kumchukua.
Kama kukosa kwake magoli kutasababisha sare basi ajiandae,lazima tumsimange.
π π π π π Utulie. Inakuuma dogo anafumania nyavu..Ngoja karudi tena kwenye default mode.
Uliona lile bao la Salah!?
Angekuwa huyo dogo pale unashangaa anakosa..
Sisi tunajua anajua kukimbia ,hilo hatuna shida nalo..ila sasa kumalizia ndio shida ilipo.Akili huwa anatunza mfukoni.
Anyway juzi akili yake ilikuwa active.
I tell you kawa super Bobby replacementSio kwamba uchoyo kapunguza, yaani kaacha uchoyo kabisaaaa [emoji1787][emoji1787]
Yeah! Nikweli aisee kile ni chuma dah!Itapendeza sana tukibaki naye mpaka 2024 koz bado kuna nguvu na vitu viingi mguuni kwake vya kutuoffer
MOTM wangu ni leo ni dogo Jarell Quansah, huyu ni zao la academy ya Liverpool alijiunga na Liverpool akiwa na miaka 5 na mpaka sasa ana miaka 20 hakika anaeleweka vyema na kwa hii progress anayoonyesha ni kazi safi huyu sio wa kwenda tena mkopo atulie pale pale mbadala wa VVDTupo na game leo
22:45
Haina haja ya kurisk sanaa
twende na mids ya Hendo, Jones na Elliot .
Ila forward iwekwe yenye hamu na magoal mechi iishe mapema.
YNWA
View attachment 2800349
Kwahiyo leo Gakpo humuoni kabisa kama amescore piaπ€£π€£π€£π€£View attachment 2800673
π€£ π€£ π€£ One game wonder so said Saint Anne hahaha... Utasubiri sana.
YNWA
Kazi tunayoπ€£π€£π€£π€£π€£π€£View attachment 2800674
View attachment 2800675
What's a goal..
What's a boy..
Next round here we come..
YNWA