Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Waambie sasa wadau kuwa yeye siyo mashine[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Goli anazokosa hata wewe Bobby ukipewa unapata
 
Ifike mahali klop aelewee kucheza bila natural Dm ni hatar sana ukikutana na timu km mancity ukajaa kwny mfumo wana kusimbalizeπŸ˜€ mara moja bila huruma.

Physical fit Dm tulio nar kwny kikosi ni endo tu cha maana kabla ya january kufika angeanza kumtrust endo hata kwa kumuingiza dakika za 70 kila game again comfidence ya kutosha maana game zote tulizo poteza point shida ilikuwa kuanzia Dm.

Anamkosea macalister bure mpk atuoni natural talent yake kwa sbb yakumchezesha out of position

Game ya totenham tungekuwa na dm mzur tungemaliza game mapema although tulikuwa na kadi 2

Game ya chelsea ndo ilikuwa rahc sana kushinda na ubovu waliokuwa nao chelsea kwa sisi kukosa Dm tukawafanya watuchezee mpira vyakutosha wkt ilikuwa game ya kushinda
Hizi point anazopoteza klop kwa kukosa kufanya maamuz yanayostahili atakuja jutia come may
 
NuΓ±ez ni mchezaji mzuri,
Ila anahitaji mwanasaikolojia amtoe wenge ..
Jamaa anapapara sana ..ndio maana magoli ya hapa na hapa na kipa anafumua shuti utafikiri anataka kuuwa kipa..
Mipira mingi inatoka nje ya lango
Nunez huwa ANAFUNGA KABLA HAJAFUNGA. Yaani akipata nafasi wazi ndani ya sekunde chache kabla hata hajaugusa mpira hujihesabia ameshafunga tayari, ndani ya sekunde zisizozidi mbili hilo jambo linafanyika, matokeoa yake ana-relax kufikiri kazi imeisha, anapoteza umakini kiasi akirudisha imagination yake katika vitendo kinachotokea ni disaster. Ni ndani ya Sekunde zisizozidi mbili.

Akiweza kujenga mentality ya HAIISHI MPAKA IISHE kichwani mwake, atakuwa monster, kila mtu atamuimba. AHAKIKISHE ANAUA NA KUZIKA KABISA, MPAKA IISHE NDIO IMEISHA. Sijui wanawezaje kumsaidia katika hilo. Kwangu chanzo cha tatizo lake ni hilo tu.
 
Ningekuwa mwanasaikolojia wake ningemfundisha kila apatapo nafasi atamke hayo maneno HAIISHI MPAKA IISHE huku anashoot, ingesaidia kupunguza makosa yake.
 
Kwahiyo Bobby wewe huoni kama Nunez ndo sababu sisi kutoshinda jana? πŸ˜‚
Kweli kipenda roho hula nyama mbichiπŸ˜‚
Huoni kama angepata magoli aliyokosa kizembe , tusingekuwa tunalalamika hapa...dogo kama ana kengeza mguuni hivi🀣🀣🀣🀣🀣
 
Ningekuwa mwanasaikolojia wake ningemfundisha kila apatapo nafasi atamke hayo maneno HAIISHI MPAKA IISHE huku anashoot, ingesaidia kupunguza makosa yake.
Mungu ampe Nini?
Amepata bahati ya kucheza na Mchezaji mkubwa na makini kama Salah..
Nadhani huwa anashuhudia Salah anavyofanya ukatili... Yaani anafukuzana hadi tone la mwisho.

Yeye sasa, ni kubutua tu na hajali chochote🀣
 
Klopp is a weird Gaffer nakumbuka alimwamini Fabinho starting berth baada ya Henderson kuumia dogo akapewa dakika next akajikuta sii tena wa bench that Klopp nature man n th man ill never change... Hata huyu Nunez kuanza hizi game ni kwa kua Luncho ana changamoto ya babake kutekwa na Gapko angekua ana match fitness maybe angepewa dakika zaidi ya Nunez au Jota...

Hii ishu ya DM hua pasua sana hizi timu tazama Arsenal wamekaa miaka zaidi ya 15 kisa tu pale kati kiungo mzuiaji haijwai kua priority kwao mpaka alivyokuja Arteta na mfumo wake..
Kipara hua hatanii kabisa ni kiungo mzuiaji aisee alivyosepa Fernandidho fasta aka step up Rodri kukamata namba mazima n man that boy is a sweeper DM... Huku sis tuna Endo na Bajectic n dogo Morton lakini Klopp being Klopp atakomaa na anachojua yeye sio kile kinachotakiwa...

Carragher kamwambia laivu hatuwezi kushinda ubingwa kwa kikosi hiki why hatuna top CB tena ba hatuna Top DM tena hivyo team sasa are beating us in our own game...

YNWA
 
Mungu ampe Nini?
Amepata bahati ya kucheza na Mchezaji mkubwa na makini kama Salah..
Nadhani huwa anashuhudia Salah anavyofanya ukatili... Yaani anafukuzana hadi tone la mwisho.





Yeye sasa, ni kubutua tu na hajali chochote🀣
Hivi jana Salah alikua benchi vile... Mlete next game ampe dogo Nunez darasa namna ya kulengaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

YNWA
 
Captain Marvelous ambaye ni Kaka yake ,ameshasema kuwa hakuna tatizo
Ni siku mbaya tu kazini🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Nunez is just human i tell hizi miss za jana wala haziingiii kwenye kumi bora za terrible miss za wachezaji we have seen worse aisee ila kwa kua ni Nunez imekua ni ishu kwa miss Liverpool n crew...

Kwani wengine waliambiwa jana goil la ushindi lazimq afunge Nunez πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.. We win we win together we lose we lose together we draw we draw together..

YNWA
 
Mimi leo siongei lolote

Yaani nawaangalia hadi mseme [emoji23]

Si unaona mwenzio kakusaliti,[emoji23][emoji23][emoji23]
Sina mwenzangu bhana hili jukwaa huru bhaba wapo waliosimama na Henderson aisee n its was all fine na mimi nasimama na Nunez n its cool kabisa... Wewe hapo sasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

YNWA
 
Siyo jana tu!
Mechi nyingi tu Nunez anamiss magoli mengi tu
Hadi huwa nasema humu, kwamba tungekuwa tunashinda Kwa magoli mengi tu kama isingekuwa uzembe wa Nunez.


Kwahiyo tulimuweka acheze ili akasindikize?Mule ndani amepewa namba akafanye Nini?
Kazi yake mule ndani ni kufunga , not otherwise.
Yaani assist tumpe afu abutue na tumuache tu!,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sina mwenzangu bhana hili jukwaa huru bhaba wapo waliosimama na Henderson aisee n its was all fine na mimi nasimama na Nunez n its cool kabisa... Wewe hapo sasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

YNWA
Huyu the Mona jana tu mlikuwa mnaongea lugha Moja kuwa Nunez ni mwamba
Nashangaa amegeuka🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Si ulisema anafunga exceptional goal
Haya, ngoja Salah ajifunze kwake hizo exceptional goal za kubutua mpira kama anaua kipa🀣🀣🀣
Sio kila Jumamosi na mkate bhana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ajabu huoni kile kichwa cha Salah alivyo kosa mpira ukatua kwa Nunez wewe unakomaa na ua Nunez tu haya edeleaaaa....

Nunez mwenyewe hana noma wala nini he has the skin n balls to continue working for perfection..

YNWA
 
Huyu the Mona jana tu mlikuwa mnaongea lugha Moja kuwa Nunez ni mwamba
Nashangaa amegeuka🀣🀣🀣🀣🀣🀣
He ain't happy kukosa point 3 muhimu kwa struggling team but its ain't the end of the world u know.. We have seen worse situations than this Miss Liverpool...

I stand with Nunez come rain come sunshine am there all day my buddy hivyo wewe sepa πŸ˜‚πŸ˜‚hukooo kwa King Mo na ma HB wako...

YNWA
 
Mpira umetua mguuni
Yupo na kipa, hawezi funga


Tutaangaliaje kichwa Cha Salah walaki Bwana mdogo aliyepewa mpira mguuni yupo na kipa na anabutua tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yaani sisi kuona worst situation before, haibadilishi ukweli kwamba dogo anazingua[emoji1787]

Mimi nasimama na yeyote anayefanya vizuri.
Hawezi akawa anabutua na sisi tunacheka tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Kaka mtuuuuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nunez Marvelous [emoji38]akiyanani
Mwambie dogo atulize wenge,, aache papara...asindikize mpira uende unapotakiwa ndo aanze shangwe zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…