Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hili genge la vibaka wapiga roba za mbao bado lipo ? [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Jana mmeingia cha kike mkakutana na wahuni zaidi yenu mkala kata funua, mitama na makonzi ya kutosha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa hata simuelewi

Fabinho wetu jamani[emoji3064]arudi
Sio kosa lake. Ana limitation pia kwenye ubora wake anavyopangwa.. Dogo sio DM wala HM wala invented HM kote huku Klopp anamfosi tu lakini sio mahala pale ujue....

Klopp hakutoa 35m+ kwa hiki unachokiona, poor boy.

Huyu ni AM by trade.

YNWA
 
Sio kosa lake. Ana limitation pia kwenye ubora wake anavyopangwa.. Dogo sio DM wala HM wala invented HM kote huku Klopp anamfosi tu lakini sio mahala pale ujue....

Klopp hakutoa 35m+ kwa hiki unachokiona, poor boy.

Huyu ni AM by trade.

YNWA
Mi sielewi chochote
Ninachojua alinawa mpira, hatimaye goli zuri tu lile likakataliwa.

Kweli sisi ni wa kufungwa ligi za Europa kweli? 🥺
 
Mi sielewi chochote
Ninachojua alinawa mpira, hatimaye goli zuri tu lile likakataliwa.

Kweli sisi ni wa kufungwa ligi za Europa kweli? 🥺
Kocha wako kaonyesha umwamba wake kamtoa mikasi kwa kosa la kimpira badala ya kumjenga mchezaji unaonesha chuki za wazi hivi kesho atakupa nini huyu uliemharibu kifikra mtaalam wetu hapa anaita kum destroy.

mwalimu wa mpila akaona mapungu akaweka lami upande huo hivyo Yani.

Tuone na wale waliofungisha tena hawatapangwa?
 
Sema naye mikasi kazingua sana😂
Bao la kwanza tumewekwa Kwa sababu yake .. anakuwa mlegevu utadhani alishindia milenda .
Bao la kwanza lawama Kwa Tsimikas.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…