Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 180
MTM.......Ha!ha!ha!ha!haaaa.....!pole sana kwa kudundwa home!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MTM.......Ha!ha!ha!ha!haaaa.....!pole sana kwa kudundwa home!
asante sana mkuu.swali moja kwako mkuu manake rafa ana nishangaza sana.ni lini aquilaini atakuwa tayari kuanza game ? kwanini anaogopa kumuanzisha wakati timu hipo kwenye matatizo? kama anaogopa kuumia mbona huwa ana wa risk wakina gerrard na torres wakati wana injury?pound mil 20 alafu mchezaji mnamlemba kwenye bench kusema kweli rafa ana lake jambo.AW, hata mimi ningeshinda ugly bado ningefurahi, its the win that counts and nothing less
congrats watani ila our game is down and out
Kumbe Alonso alikuja kushuhudia kipigo
hivi ni benitez hakupewa helaau ni kwamba alitumia hela vibaya kwa kununua wachezaji kwa kubahatisha?Flailing Liverpool may get UAE sheikh boost
Dec 15, 2009
![]()
ABU DHABI - Liverpool Football Club, a long-time target for Middle East investors, could get an injection of cash from an influential sheik in the United Arab Emirates, according to an official.
Members of the ruling family of Ras Al Khaimah, one of seven sheikdoms in the U.A.E., hope to meet with the club's U.S. owners George Gillet Jr. and Tom Hicks to discuss investing in the English Premier League side, a senior official in the emirate, with knowledge of matter, told Zawya Dow Jones.
Liverpool's owners "may be coming next week," to discuss a deal, the senior official, who declined to be named, said. Ian Cotton, Liverpool FC's director of communications, said, "at the moment, we are not commenting on this speculation." A spokeswoman for Tom Hicks couldn't immediately confirm a planned trip.
The funding could help the Anfield-based club compete for new playing talent in the January transfer window, when European clubs are permitted to trade players.
Liverpool has lost ground on better funded teams like Chelsea Football Club and Manchester City Football Club when competing for the world's best players.
It's also struggling on the pitch. Liverpool was last month eliminated from the lucrative UEFA Champions League, costing the club an estimated GBP10 million on its projected income from the competition.
Defeat against Arsenal Football Club Sunday has also raised the prospect of Liverpool missing out on next season's tournament entirely.
It's currently seventh in the English Premier League and must finish in the top four to earn a Champions League place, worth up to GBP25 million per season.
hivi ni benitez hakupewa helaau ni kwamba alitumia hela vibaya kwa kununua wachezaji kwa kubahatisha?
Hongereni, japo mechi haikuwa rahisi kwenu.Good... three points today
mkuu waache wapumzikewenzako bado wanafuraha ya wigan wewe unawachanganyia habari humu lol.....hodiii humu ndani, wenyewe mpo? MTM, kwema? duuuh, msimu umekaa kushoto kweli huu, ama?
Portsmouth 1 - 0 Liverpool ...na Mascherano kalamwa 'nyekundu' tayari...
RIP L'pool, dalili za kurudisha sizioni mie...