Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Captain Marvelous omba kazi hizo
Dada Yako mara mojamoja niwe nakuja mambele kusafisha macho😂
My Miss Liverpool 🤣🤣naona umenitupia pande la nguvu sana hapa...

Hawa Wigan bhana kuna kipindi walikua wild card aka bogey team ya ligi yaan ukikutana nao unachezea tu kichapo miaka hiooo ndio kama Brighton ya leo... Things have changed hata EPL wameisahau..

YNWA
 
Hizi ni stori ambazo Bobby anapenda😆😂
🤣🤣🤣🤣Ingekua hata kugonga mwamba kuna pointi mpaka sasa Nunez kashatupa Ubingwa wa EPL msimu huu..
Haha if wishes were horses beggars could........

Nwa tupo nae mdogo in short hata the Great Lewandoski alianza hivi hivi na baadae akaja kueleweka... Nunez nae mbona ataeleweka.

Sijui kwa nini Klopp hajamtest ile lone 9 ailyopiga pale Benfica...

YNWA
 
My Miss Liverpool 🤣🤣naona umenitupia pande la nguvu sana hapa...

Hawa Wigan bhana kuna kipindi walikua wild card aka bogey team ya ligi yaan ukikutana nao unachezea tu kichapo miaka hiooo ndio kama Brighton ya leo... Things have changed hata EPL wameisahau..

YNWA
Kikubwa tuende tu mambele 😂
Ama unasema aje Bobby

Wewe Mafuriko hayajakuchosha?
 
Sijaelewa

Time bomb kwamba hafai au anafaa?
Not really... Time bomb= Kuwalipukia ma defenders mpaka waombe po ndugu...
Kila kukicha anapunguza minimal errors per game meaning confidence inazidi kuongezeka kwake na huku timu ya Taifa anatupia aaaa its doesn't get better than this...

YNWA
 
Klopp angeenda na hii first eleven kwenye game ya City au mnasemaje?
ReactNative-snapshot-image6713455600556790166.jpg
 
Klopp angeenda na hii first eleven kwenye game ya City au mnasemaje?View attachment 2822696
🤣 🤣 🤣 Klopp muoga sana yaan amchezeshe Nunez lone 9 dhubutu... Lakin Klopp hapa angemzima mapema Kipara akose pa kutokea kwa kua pale kati pako crowded...
Utamshangaa sasa kuona Macca ndio anacheza DM 🤣🤣 hapo sasa Kipara atatuchana laivu maana Rodri vs Macca is no match for Macca.

YNWA
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Klopp muoga sana yaan amchezeshe Nunez lone 9 dhubutu... Lakin Klopp hapa angemzima mapema Kipara akose pa kutokea kwa kua pale kati pako crowded...
Utamshangaa sasa kuona Macca ndio anacheza DM [emoji1787][emoji1787] hapo sasa Kipara atatuchana laivu maana Rodri vs Macca is no match for Macca.

YNWA
Kuna mda klopp aache uoga, awe wa kujaribu mfumo.
 
Kuna mda klopp aache uoga, awe wa kujaribu mfumo.
Klopp hua hapangiwi anachokiamini yeye atasimama nacho hivyo hivyo.. Aliweza kusimama na Henderson, Ox, Keita, Milner wote hao akitonywa kabisa na mashabiki, ma pundits nk kwamba sio elite level lakini hakusikia akaweka pamba masikioni. Huyo ndio Klopp mpaka pale alipokosa UCL akaona ohooo kumbe kweli nina MF mbutu kabisa haina msaada kwenda mbele ipo ipo tu.
Hivyo hili la Nunez tutasubiri mno aisee but you never know may be just may be ataanza kumtumia Nunez kama Marcelo way.

Manchester City has evolved this season wamekua more direct kuliko ile approach yao ya zamani ikiwa ni keep possession until openings zitokee kwa sasa wana fosi zaidi kusaka openings na Doku is key to that idea..
Statistics zinaonyesha msimu huu mechi zote tulizocheza baada ya mapumziko kupisha mechi za Kitaifa tumekua tunaanza game kwa kuonyesha uchovu wa hali ya juu sana na hua tunaanza kuamka kipindi cha pili sasa najiuliza pale Ethad kama itakua same mentality ya mechi ya vs Everton na vs Wolverhampton mh si tutakula mvua pale.... Klopp has to be on the point kuchagua kikosi na mfumo.

YNWA
 
Back
Top Bottom