Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

.

Endelea Kuishi kwa Matumaini Mimi Liverpool unifananishe na hiyo Chelsea yako ya Pochentino aliyekuwa na kila kitu pale PSG na bado akashindwa kufikia malengo Ivi Mngemfunga City IΓ±gekuwaje? maana mmepagawa na Sare Pathetic
Kwani nyie leo mumemufunga🀣🀣🀣🀣
 
Akili mtu wangu
Ila duh Ake na Haaland wali combine kirahisi mno lile goli.. Matip badala amfuate Haaland anaweweseka tu...

Allison kuna kakitu sio bure gemu nyingi sana huyu jamaa vs Citizen hua anatuchomesha na leo twice karudia makosa yale yale sijui papara hua ya nini.

We are lucky kwa hii sare angekuwepo KDB na Macca pale kati could have been worse..

Klopp n FSG kama kweli they mean business then dirisha la winter wafanye jambo DM haya mambo ya majaribio yanatuletea wasi wasi mno uwanjani maana asikwambie mtu ukiwa na proper DM hata mabeki wanajiamini kabisa lakin ikiwa kama ilivyo sasa they are always scared a pass or so will penetrate the leaky MF...

Lets build confidence ya kikosi kwa kua na watu sahihi kila idara...

Gapko movement was superb kufungua njia kwa Trent atupie goli...

There is so so much to improve guys... Hii sare inatujenga sana. Ethad pamegueka machijioni...

YNWA
 
Tupo

Hata maboya huwa wanafunga

Trent is not a good defender na anatucost sana

Good day kwake leo…. With maturity yake apewe mido au right wing back itasaidia

Or else klopp atafute a very strong left sided cb
Trent ni mwamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…