Ila ndio alifunga goli na tukapata draw ambayo ulikuwa unatamani tupate pale Etihad
Lol so zile bla bla za Carlo ana gentle man agreement na Samba team ilikua unproven gossip.
Nimeona hio kazi ya Samba boys hata Mourhno anatajwatajwa
YNWA
This Samba boys are fast healers hivyo atarejea tu...
YNWA
Sometimes the so called invert do works sometimes its fails.. On Sunday it's like Pep thought we will play th so called hybrid RB cum MF for Trent n Doku would have owned Trent big time... Well Trent at least he managed to cool down the Doku guy hakutuumiza with his dangerous runs...
Oh boy that kid can dribble, take ons, he is such a complete package n luckily Klopp decided to go back to the basics on that particular match that helped to keep us compact at the back for most of the time but even when they penetrated Allison was there to save th day....
Man is its by coincidence or pure lack why when we play Manchester City keeper Allison hua anakuwa na wenge sana especially back passes utaona mechi zaidi ya 2 ametuchomesha hivi hivi aisee hata gemu ya wekedi dogo Foden hakutulia... Allison ain't the best when it's comes to playing from behid kabiaaaa...
YNWA
Mambo ya transfers Klopp huwa anakuwa mbishi sana ...
Imebidi afanye overhaul ya midfield baada ya kuona yupo nje ya top 4 ..
Sasa hivi tunapiga kelele kuhusu RB na CB ...pamoja na DM ... Na anajua hizi kelele kwakuwa platform za Liverpool worldwide zinazungumza one language kuhusu hili ..
Atakaa kama hasikii hivi .... Kisha maji yakifika shingoni utaona anatafuta watu ...lakini inakuwa too late ..
I hope January kuna maboresho ...yatafanyika ..so far timu inajitahidi ..
Kitambo sana namkubali sana dogo
Hata sijui ni kwanini
Nadhani kila mtu ana mchezaji anayemuadmire sana na kuvutiwa naye pengine bila hata sbabu za msingi.
Akitoka Gerrard,namba mbili ni huyu dogo.
...
MosDef atakuwa bize kukamilisha madili ya kununua wachezaji.
Hopefully atakuja kutuchambulia mechi yetu dhidi ya City,,hususani goli machachari la dogo Trent.
Jones shouldnt have started that game.
Good insight of the game brother.
Pep Guardiola, game-plan tangu mwanzo (dakika ya 1), ilikuwa ni ku-target (overload) upande wa Trent, well, the whole football world, inajua kuwa Trent is not good or equipped enough kwenye upande wa ku-defend, ndiyo zilkuwa same thoughts za Pep, overload his side, and make him vulnarable, ukichukulia Konate or Gomez hawakuwepo at RCB for recovery pace.
Pep put Doku & Bernardo on the right side, it was 2 vs 1, (Doku + Bernardo Vs Trent), that was Pep's plan, Klopp countered this by putting Szobo & Salah close to Trent defending pockets, kama extra defenders, the role was to help Trent, and minimize Doku & Bernardo threats, and tukisema "threats" ni kuzuia kwa ukubwa 1v1 situations za Doku dhidi ya Trent.
Pep's plan here was to end the game ndani ya dk 45, overload the right flank, kill Salah attacking threat (Doku & Silva upande wa kulia means Salah angecheza chini zaidi kwaajili ya kumsaidia Trent), kill Szobo ball progression/creation threats, (same kama kwa Salah, Szobo needed to stay close to Trent/Pockets/Zones kuzuia Sliva attacking actions/movements and limit Doku runs/1v1s na Trent).
NOW, i'd say Pep plan ilifanikiwa kwa kiasi chake, because having Szobo kwa Trent's pockets, kulifanya Macca abaki na eneo kubwa sana la ku-cover, as Jones was tasked na suala la ku-carry na ku-bait/evade City's press kwa ku-progress mipira from the back, BUT, kuwa na gaps kwenye MF yetu, kuliwaruhusu City, kutengeneza a well rounded shape ya ball progression in the centre, Akanji inverting and using Alvarez kama spare MF ili kutengeneza pressing traps za kututoa kwenye reli (our defending shape), nasema Pep alifanikiwa, kwasababu City walitengeneza a lot of attacking actions, BUT our box defending was good, goal la City ukiachana na blunder ya Allison, lilitokea kwasababu Szobo ali-switch off, hakutegemea kama ule mpira ungeishia kwa kwa Ake, hence alivyojaribu kurudi kwenye pocket ya Trent, tayari Ake alikuwa anam-face Trent, which was easy for Ake to evade him and play that ball to Haaland.
NOW, swali litakuwa kama Pep alifanikiwa, why haku-run away with the game? (goals), well, Ok, alijaribu kum-out number Trent, out-numbering Trent, it means unaua our right side attacking threat, because ni lazima Klopp ange-react kwa kuzuia/minimize zile overloads, hence Killing Salah & Szobo attacking actions, then by doing so, una-limit game-points za Szobo in the middle, so Pep had to use his dark plans, overload Trent, and use quick central progressions kipindi ambacho Szobo ata-move kwenda kwenye pockets ya Trent kusaidia ku-defend (this is when City wakiwa wanashambulia/wakiwa na mpira), BUT city LACKED goals kwasababu, walikuwa wana-miss presence ya ball carrier/quick passer in the middle, ambaye ni BERNARDO, (funny??), so this gave Macca, Jones, Virgil, Tsimikas, Matip, kazi nyepesi ya kuzuia penetrations za City katikati, Akanji tried to overload our MF shape, but Macca had no problem dealing with his passing/movements, tofauti kama ingekwa ni Bernardo, Nunes, Kovacic au KDB mwenyewe, so nasema Pep alifanikiwa because alipata goal kwa mbinu hizi, but he came up short kwasababu hakuwa na extra progressor in the middle.
Kwa Klopp ilikuwa ni easy, Help Trent, and try hard kuzuia City progression katikati ya uwanja, and use Jones kama press baiter, and it was easy because Klopp wanted a draw.
Second half, Pep decided to put Bernardo in the middle, left Doku and Trent tu, Klopp reacted by doing the same, but siyo kwa big extent, he subbed off Jones, and put on Grav, simply kwasababu ya ball progression, Grav job was to get the ball and progress it through the middle and wide, stretching City defensive shape, streching City compact progression shape eneo la MF, and ku-distrupt City-tradition possessional game, this helped us to open up City game-plan, forced Rodri into quick defensive actions.
Goal, tulilopata ilikuwa ni kazi ya Grav, progress the ball, evading/baiting Rodri along the way, na Trent alifunga goal kwasababu wakati Grav anaanza ile move, alikuwa wide, so it was so easy for him to track Grav and Diaz movements, na kuwepo kwenye lile eneo at the right time, kama angekuwa ame-invert (kama watu wanavyotaka), asingekuwepo kwa lile eneo.
NOW, people wanaweza sema namsema Trent, but NO, Pep targeted him kwa mawili, la kwanza ni kwasababu ya his weaknesses kwenye kuzuia, na pili ni kwasababu ya ku-minmize his attacking powers, Trent siyo good defender but ni good creator, good passer, good crosser, good ball-switcher, so kwenye game kama ile, you need to stop hizo threats, na uki-overload kwa Trent, it means unaua pia our attacking actions, kwasababu Salah atakuwa anasaidia na kutafutia mipira chini, Szobo atakuwa yupo limited sana kupata mipira, kazi kubwa inakuwa ni off-ball balance, so attacking threat inakufa, na ukiua attacking threat ya kulia, na ya kushoto inakufa.
kuna siku nilisema hakuna Coach ambaye anauwezo mkubwa wa kufundisha Box defending kama Klopp, na pia hakuna kocha anaweza kufundisha deep-block kama Klopp, kama AKIAMUA, against City, it was a box defending masterclass, na ukiona tu kamuanzisha Matip kwenye big away game, ujue anatafuta draw, na itapigwa box au deep-block defending ya hali ya juu, hence Pep lacked answers kipindi cha pili, ukitaka kupata kwa uzuri box defending/Deep-block ya Klopp, kwa msimu angalia game ya Spurs, na kwa msimu uliopita angalia game yetu na City at Anfield.
Kama atakuwa nje for sometime.
Itakuwa ni kitendawili.
Kelleher is struggling sana na his form.
And, then we have Mr. San Miguel.
Dark times.
Sometimes the so called invert do works sometimes its fails.. On Sunday it's like Pep thought we will play th so called hybrid RB cum MF for Trent n Doku would have owned Trent big time... Well Trent at least he managed to cool down the Doku guy hakutuumiza with his dangerous runs...
Oh boy that kid can dribble, take ons, he is such a complete package n luckily Klopp decided to go back to the basics on that particular match that helped to keep us compact at the back for most of the time but even when they penetrated Allison was there to save th day....
Man is its by coincidence or pure lack why when we play Manchester City keeper Allison hua anakuwa na wenge sana especially back passes utaona mechi zaidi ya 2 ametuchomesha hivi hivi aisee hata gemu ya wekedi dogo Foden hakutulia... Allison ain't the best when it's comes to playing from behid kabiaaaa...
YNWA
Kwa Spurs kweli umenikumbusha aiseeGood insight of the game brother.
Pep Guardiola, game-plan tangu mwanzo (dakika ya 1), ilikuwa ni ku-target (overload) upande wa Trent, well, the whole football world, inajua kuwa Trent is not good or equipped enough kwenye upande wa ku-defend, ndiyo zilkuwa same thoughts za Pep, overload his side, and make him vulnarable, ukichukulia Konate or Gomez hawakuwepo at RCB for recovery pace.
Pep put Doku & Bernardo on the right side, it was 2 vs 1, (Doku + Bernardo Vs Trent), that was Pep's plan, Klopp countered this by putting Szobo & Salah close to Trent defending pockets, kama extra defenders, the role was to help Trent, and minimize Doku & Bernardo threats, and tukisema "threats" ni kuzuia kwa ukubwa 1v1 situations za Doku dhidi ya Trent.
Pep's plan here was to end the game ndani ya dk 45, overload the right flank, kill Salah attacking threat (Doku & Silva upande wa kulia means Salah angecheza chini zaidi kwaajili ya kumsaidia Trent), kill Szobo ball progression/creation threats, (same kama kwa Salah, Szobo needed to stay close to Trent/Pockets/Zones kuzuia Sliva attacking actions/movements and limit Doku runs/1v1s na Trent).
NOW, i'd say Pep plan ilifanikiwa kwa kiasi chake, because having Szobo kwa Trent's pockets, kulifanya Macca abaki na eneo kubwa sana la ku-cover, as Jones was tasked na suala la ku-carry na ku-bait/evade City's press kwa ku-progress mipira from the back, BUT, kuwa na gaps kwenye MF yetu, kuliwaruhusu City, kutengeneza a well rounded shape ya ball progression in the centre, Akanji inverting and using Alvarez kama spare MF ili kutengeneza pressing traps za kututoa kwenye reli (our defending shape), nasema Pep alifanikiwa, kwasababu City walitengeneza a lot of attacking actions, BUT our box defending was good, goal la City ukiachana na blunder ya Allison, lilitokea kwasababu Szobo ali-switch off, hakutegemea kama ule mpira ungeishia kwa kwa Ake, hence alivyojaribu kurudi kwenye pocket ya Trent, tayari Ake alikuwa anam-face Trent, which was easy for Ake to evade him and play that ball to Haaland.
NOW, swali litakuwa kama Pep alifanikiwa, why haku-run away with the game? (goals), well, Ok, alijaribu kum-out number Trent, out-numbering Trent, it means unaua our right side attacking threat, because ni lazima Klopp ange-react kwa kuzuia/minimize zile overloads, hence Killing Salah & Szobo attacking actions, then by doing so, una-limit game-points za Szobo in the middle, so Pep had to use his dark plans, overload Trent, and use quick central progressions kipindi ambacho Szobo ata-move kwenda kwenye pockets ya Trent kusaidia ku-defend (this is when City wakiwa wanashambulia/wakiwa na mpira), BUT city LACKED goals kwasababu, walikuwa wana-miss presence ya ball carrier/quick passer in the middle, ambaye ni BERNARDO, (funny??), so this gave Macca, Jones, Virgil, Tsimikas, Matip, kazi nyepesi ya kuzuia penetrations za City katikati, Akanji tried to overload our MF shape, but Macca had no problem dealing with his passing/movements, tofauti kama ingekwa ni Bernardo, Nunes, Kovacic au KDB mwenyewe, so nasema Pep alifanikiwa because alipata goal kwa mbinu hizi, but he came up short kwasababu hakuwa na extra progressor in the middle.
Kwa Klopp ilikuwa ni easy, Help Trent, and try hard kuzuia City progression katikati ya uwanja, and use Jones kama press baiter, and it was easy because Klopp wanted a draw.
Second half, Pep decided to put Bernardo in the middle, left Doku and Trent tu, Klopp reacted by doing the same, but siyo kwa big extent, he subbed off Jones, and put on Grav, simply kwasababu ya ball progression, Grav job was to get the ball and progress it through the middle and wide, stretching City defensive shape, streching City compact progression shape eneo la MF, and ku-distrupt City-tradition possessional game, this helped us to open up City game-plan, forced Rodri into quick defensive actions.
Goal, tulilopata ilikuwa ni kazi ya Grav, progress the ball, evading/baiting Rodri along the way, na Trent alifunga goal kwasababu wakati Grav anaanza ile move, alikuwa wide, so it was so easy for him to track Grav and Diaz movements, na kuwepo kwenye lile eneo at the right time, kama angekuwa ame-invert (kama watu wanavyotaka), asingekuwepo kwa lile eneo.
NOW, people wanaweza sema namsema Trent, but NO, Pep targeted him kwa mawili, la kwanza ni kwasababu ya his weaknesses kwenye kuzuia, na pili ni kwasababu ya ku-minmize his attacking powers, Trent siyo good defender but ni good creator, good passer, good crosser, good ball-switcher, so kwenye game kama ile, you need to stop hizo threats, na uki-overload kwa Trent, it means unaua pia our attacking actions, kwasababu Salah atakuwa anasaidia na kutafutia mipira chini, Szobo atakuwa yupo limited sana kupata mipira, kazi kubwa inakuwa ni off-ball balance, so attacking threat inakufa, na ukiua attacking threat ya kulia, na ya kushoto inakufa.
kuna siku nilisema hakuna Coach ambaye anauwezo mkubwa wa kufundisha Box defending kama Klopp, na pia hakuna kocha anaweza kufundisha deep-block kama Klopp, kama AKIAMUA, against City, it was a box defending masterclass, na ukiona tu kamuanzisha Matip kwenye big away game, ujue anatafuta draw, na itapigwa box au deep-block defending ya hali ya juu, hence Pep lacked answers kipindi cha pili, ukitaka kupata kwa uzuri box defending/Deep-block ya Klopp, kwa msimu angalia game ya Spurs, na kwa msimu uliopita angalia game yetu na City at Anfield.
Mimi huwa nawashangaa akina Van Djik wanamrudishia mpira wakati wanajua tatizo lakeSometimes the so called invert do works sometimes its fails.. On Sunday it's like Pep thought we will play th so called hybrid RB cum MF for Trent n Doku would have owned Trent big time... Well Trent at least he managed to cool down the Doku guy hakutuumiza with his dangerous runs...
Oh boy that kid can dribble, take ons, he is such a complete package n luckily Klopp decided to go back to the basics on that particular match that helped to keep us compact at the back for most of the time but even when they penetrated Allison was there to save th day....
Man is its by coincidence or pure lack why when we play Manchester City keeper Allison hua anakuwa na wenge sana especially back passes utaona mechi zaidi ya 2 ametuchomesha hivi hivi aisee hata gemu ya wekedi dogo Foden hakutulia... Allison ain't the best when it's comes to playing from behid kabiaaaa...
YNWA
Babu Carlo for Brazil would be perfect match kabisa mzee hanaga mambo mengi ni getting the basics right...Nimeona news leo, kuwa Perez is readying a new contract for him.
So, it depends na offer ya Brazil, kama Perez asipo meet offer ya Brazil, Carlo anaweza ku-opt for Brazil.
Bwana bwana hii kitu tena vs Manchester City washajua Allison footwork is poor under pressure hivyo wenyewe hua wanasimama in the channels na utaona Allison huyooo anatoa assist kwa Foden nk nk...Mimi huwa nawashangaa akina Van Djik wanamrudishia mpira wakati wanajua tatizo lake
Duh Jones back pass might have be the cause here sioni sababu nyingine hapa... Allison pale aliji stretch to the maximum.Last season, suala la Trent ku-invert lilifanya kazi to an extent, because we had Fabinho, na kama unakumbuka Fabinho alirudi kidogo kwenye his form, ingawa siyo kwa ubora wake ule ule, but he had good 10-12 last games, na ndiyo maana it was easy for Trent to invert.
But now we have Macca, yeye mwenyewe huwa ana-struggle kusettle at 6 kwenye baadhi ya game, so Trent ku-invert inakuwa mzigo.
Becker atakuwa ame-tweak his hammy, sasa itategemea ni grade ipi, could be 2-3 weeks, or 4-8 weeks, au ikawa ni nothing serious kabisa, tusubirie tu update za club.
🤣 🤣 🤣 Chelsea pa moto sanaa... Watulie na Anko Poch kwa sasa.Hiyo ni kazi ya Chelsea utashangaa Pochettino kibarua kinaota nyasi [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jones huwa Ana jukumu maalumu uwanjani kutazama mpira anao mchezaji gan
Kinachonifurahisha ni namna hawa madogo wapya walivyojichanganya haraka kwenye timu.Ujue lile goli bana utamu wake upo hapa;
Kwanza tumetoka kufanya save ya maana sana ambayo pengine bila beckor kufanya yake mechi ingeishia pale pale. Lakini la pili ni Gravernberch alivyo dribble kutoka karibu na 18 yard yetu akaenda akampita World class 6 currently Rodri kwa utamu flani hivi. Kisha akapokea Diaz akaendeleza ya Gravernberch huku TAA akielekea goli kutoka kwenye kosa kosa ile. Diaz akatoa pasi hivi kwa Taa ila ikawa ndedu Salah akauwahi.
Kuna mkimbuo aliufanya Gakpo na ndio ulitoa Room kubwa kwa TAA kuliona goli vizuri kiasi cha kuchambua apige wapi, Salah akaweka njiani Gakpo ka run kuwafungua City na kutoa Room kwa TAA, Taa akaupokea first touch then 2nd shot BOOM.!!
[emoji3060][emoji3060]
Ubora kwenye MF msimu huu umetupa point moja Etihad, japo hatujawa bora sana bila ya Mpira.
One DM and Possible CB january then we are ready to battle until May
Oh basi tukiwa tunamsema Nuniez Kwa kukosa msitulaumuYes, he scored an important goal.
Was it a charity goal? NO.
He's getting paid more than £150k p/w, that is 400m tanzania shilling kwa week, zaidi ya Tanzania shillings billion moja na nusu kwa mwezi (before taxes).
He's not doing a charity work at LFC, his job is to deliver uwanjani.
Nyota za assist kama zotenyota ya kuongelewa about your weaknesses? (for the past 6-7 years), must be nice.