Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

My only concern ni looking at past inanipa wakati mgumu sana kuamini anaweza kum drop huyu dogo.. Kama aliweza kuishi muda wote huu na bams Henderson na Milner na akawa hana haraka kuwa phase out basi na huyu Trent tunae aisee...

YNWA
 
My only concern ni looking at past inanipa wakati mgumu sana kuamini anaweza kum drop huyu dogo.. Kama aliweza kuishi muda wote huu na bams Henderson na Milner na akawa hana haraka kuwa phase out basi na huyu Trent tunae aisee...

YNWA

Football ni mchezo wa small margins.

Kuna vitu vitakufanya uwe PL winner kila msimu kama Pep, au kuwa msindikizaji kama Klopp.
 
Since Fifa waseme wanaweka capping kwa agent fees naona kimya mpaka sasa aisee... Kunahitajika proper flame work namna bora ya ku address this vulture trend ya hawa ma agent... Its like Fifa ni wanafaika wa haya mambo yakibaki hivi.

YNWA
 
Football ni mchezo wa small margins.

Kuna vitu vitakufanya uwe PL winner kila msimu kama Pep, au kuwa msindikizaji kama Klopp.
🤣 🤣 Klopp is a pathetic looser aisee maana he lose by 1 margin unafikiri amesoma why he failed aaa unashangaa ana beti tena na same comrades lol... Pep is cool ruler aisee..

YNWA
 
My only concern ni looking at past inanipa wakati mgumu sana kuamini anaweza kum drop huyu dogo.. Kama aliweza kuishi muda wote huu na bams Henderson na Milner na akawa hana haraka kuwa phase out basi na huyu Trent tunae aisee...

YNWA
Mnafikiria Trent aondoke?
Sahauni kabisa,wazeni mengine[emoji23][emoji23]


Trent ndio Captain wetu ajaye,na ndiye Mwalimu ajaye wa timu ya watoto.
Inshort Trent atazeekea hapahapa.


Trent for life[emoji3590]
 
Hivi mbona huwa sisikii mkimuongelea Jota kuondoka
Au yeye hawezi
Jota yupo mpaka 2027 vile... Kila mchezaji ana bei ujue akija mhitaji ofa ikawa fresh mbona anakumbaliwa...

Jota alikua long term target akiwa hukoo championship Liverpool wamemfuatilia kwa muda tu ishu hapa ni majeruhi kwake na hua haponi haraka.

YNWA
 
Mnafikiria Trent aondoke?
Sahauni kabisa,wazeni mengine[emoji23][emoji23]


Trent ndio Captain wetu ajaye,na ndiye Mwalimu ajaye wa timu ya watoto.
Inshort Trent atazeekea hapahapa.


Trent for life[emoji3590]
🤣 🤣 Mwalimu nani huyo atakua kama Lampard tu...

Kama hawezi kuweka bidii ili afosi kucheza kati atakua anatugharimu.

Kuna tofauti ya Klopp na Pep... Pep hua wala hupangwi kama mfumo unaelemewa na majukumu unakula benchi tazama Philips na kipindi fulani Grealish.. Klopp yeye yupo tu anacheka cheka tu

Hata Nunez asipokua makini na tukakosa ubingwa pale na hapa kwa kosa kosa zake basi nae atasepa tu ujue...
Liverpool comes 1st sio mahaba ya wachezaji

YNWA
 
Ambae anakumbuka ile app ya ku stream mpira live anisaidie nicheki game[emoji2957]🥲
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…