verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 2,930
- 5,913
Huu uzi umejaa wazee/mababu wanakula pensheni tu[emoji1] [emoji1] [emoji1] mpira wanapiga mzuri tu, haswa kwenye ushambuliaji. Kwenye kiingereza, jukwaa hili lina vibe la kipekee yaani. Huku tu ndiyo unakutana na kiingereza kila post 2-3. Sijawahi kujua kwa nini ni huku tu ama zaidi ya mengine. Mimi nimejiunga JF juzijuzi tu hapa ila nafikiri nikienda posts za mwanzoni mwanzoni huko nitakuta wajumbe wakijadili na kupendekeza kutumia kiingereza huku ili sisi watu wa timu zingine tusiweze kuja kuwasagia kunguni wakipigwa. Maana kule Arsenal tunaamini kuwa huku mtu hawezi kueleweka akitumia kiswahili tu.
Najua nasema kabla ya kuwa majeruhiBajcetic ni majeruhi mbona au acheze akiwa majeruhi
Tunawashukuru kwakwli na leo tutaomba Sheffield walau watutafutie draw siku iishe vzuri🤠🤠Kwanza kileleni pale tumewaweka sisi
Na tunawatoa sisi
Nyie arse8 ni fungu la kukosa
Chance mliyoipoteza msimu Jana mtaijutia maisha.
FSG mouthpiece.. He should shut up kwa kweli.. Ndio hawa hawa walimpa Klopp kichwa kukubatia home grown lazy fellas mpaka leo tuna EPL moja tu aafu leo anaimbuka na hii kauli kwa kweli wanakera sana hawa watu ujue..Nimeona article ya James Pearce, anasema we dont need a "6", kwamba put Trent in the middle, and buy a right back.
Nimeishia kucheka tu.
I'm trying to understand your point regarding his shot-stopping ability. I'll begrudgingly accept it, though i recall that, statistically, Raya is one of the best shot-stoppers in the league.
We've conceded a couple of sloppy goals. For some of those, Raya couldn't have done much about after the first and second line of defence were breached. Our players must do better. Our coaching must get better. Raya should probably also ultimately get better.
Aka Captain Chaos.Hadi sasa goli la Trent na Nunez ndo yanakimbizaView attachment 2834493View attachment 2834494
Unataka kusema Alison Bakari hafanyagi mistakes?
Kuku bhana mnakua kama utopolo
Elliott anajituma mno hataki kula benchi tena anafosi starting line up ishu kwake huyu akianzishwa hua anakua AWOL muda mwingi sana kwa sasa awe super sub.He has improved kwa kweli, he has improved a lot.
Sema kuna baadhi ya vitu anakuwa mgumu sana kuviacha.
Headache, ni kuwa he complements Szobo & Macca vizuri kuliko Grav, for now.
our best MF dynamics (with Baj & Thiago out) ni;
Szobo-Macca-Jones
Elliott-Macca-Grav
Kwa kile nilicho-gather, kwa muda mfupi, naona, Grav na Szobo bado hawana strong dynamics and combinations.
Its coachable lakini.
Unapoanza kuzungumzia mechi ya Liver vs arsenal kwnza inabidi umalize kazi iliyoko mbele...wte weekend Wana mechi ngumu...mnazungumzia mambo ya Christmas deciders wakati mpk mkifika mda huo hamjui mtakuwa kwny position gani...ligi ya Uingereza sio ya kupangapanga tu hyu atamdunda hyu....haipo....pia kuna factor ya injuries...hujui mpk mkikutana nani atakuwa na kikosi angalau...kwhyo mambo ni mengi....malizana na Sheffield leo then weekend crystal palace...na arsenal Aston villa then tuone itakavyokuwa....usije ukatabiri ya mbele...mmoja wenu akaangusha points kabla hamjakutana au hata wte mkaangusha points na City bahati ikqmrudia akarudi pale juu....English football is very unpredictable
Trent
Our coming Captain 🔥🔥🔥
Nadhani mashabiki wote huku wa Liverpool hawajawahi kushuhudia kipa mwenye ubora kama Allison kwenye hii timuMkuu, nakuelewa, nakuelewa sana.
But, as a LFC fan, nimeshuhudia jinsi a WC keeper anavyoweza ku-elevate your whole team/side.
Baada ya Reina, we struggled for years mpaka kuja kumpata Alisson, na kipindi hiki we won nothing big, when we had Mignolet & Karius, i have witnessed them costing us games, costing us trophies, so naelewa na naheshimu sana umuhimu wa a WC Keeper.
Raya, nadhani ame-make mistakes nyingi this season, but nyingi hazikuwa punished, au kuwa-cost games, hence huoni tatizo, jana at Luton, he made 2 key mistakes, ungekuwa kwenye tough grounds/big opponents (Anfield, Etihad, SB, St James Park (Utakubaliana na mimi Raya played a big part kwenye goal la Gordon at ST James Park), OT, Spurs stadium, Villa Park etc) his 2 key mistakes zingeku-cost points.
A keeper ambaye ana mistakes/errors nyingi kwenye his game, hawezi kuwa sustainable in the long run, umeamua ku-mask his weakness, and its okay.
Then, again stats zake lazima zitakuwa well balanced, because he's not getting tested a LOT, Arsenal ndiyo mmeruhusu shots chache sana golini, kabla ya game ya jana, mlikuwa mmeruhusu 28 shots on target, thats impressive & impeccable. so its obvious kuna weaknesses/mistakes za Raya utazifumbia macho, because bado hazijaanza kuwa-cost games, and i mean crucial games.
But, what do i know? he's your GK & problem.
Elliott anajituma mno hataki kula benchi tena anafosi starting line up ishu kwake huyu akianzishwa hua anakua AWOL muda mwingi sana kwa sasa awe super sub.
Grav is really trying to bring lots of aspect ambazo once they have chemistry na wachezaji wengine kati na mbele we are sorted for real..
Macca seems kama ameamka sasa mechi ya Ethad he passed the audition really well na hii ya Cottagers hakua mbaya sanaa minus the goals n well we know he ain't born a DM..
Domyy hizi mechi 2 amekua a bit here n there not affecting the games..
Pale kati Klopp aweke yotote tu we are ready...
YNWA
Nadhani mashabiki wote huku wa Liverpool hawajawahi kushuhudia kipa mwenye ubora kama Allison kwenye hii timu
FSG mouthpiece.. He should shut up kwa kweli.. Ndio hawa hawa walimpa Klopp kichwa kukubatia home grown lazy fellas mpaka leo tuna EPL moja tu aafu leo anaimbuka na hii kauli kwa kweli wanakera sana hawa watu ujue..
Klopp should be smart... Kwani akinunua huyo DM mmoja na CB mmoja kuna shinda gani...
Liverpool is big well operated
YNWA
Lakini umesema wwe kuwa Trent ni Captain ajaye,after VVD kuondoka.Umeshinda..
Goli lake lilikuwa zuri sana ila mie kwa mahaba nimevote kwa Trent😂Aka Captain Chaos.
YNWA
Juzi Kelleher anatupiwa lawama kwa magoli ambayo hata Allison pengine angekosa na angefungwa mengine.Unataka kusema Alison Bakari hafanyagi mistakes?
Kuku bhana mnakua kama utopolo