Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

[emoji1] [emoji1] [emoji1] mpira wanapiga mzuri tu, haswa kwenye ushambuliaji. Kwenye kiingereza, jukwaa hili lina vibe la kipekee yaani. Huku tu ndiyo unakutana na kiingereza kila post 2-3. Sijawahi kujua kwa nini ni huku tu ama zaidi ya mengine. Mimi nimejiunga JF juzijuzi tu hapa ila nafikiri nikienda posts za mwanzoni mwanzoni huko nitakuta wajumbe wakijadili na kupendekeza kutumia kiingereza huku ili sisi watu wa timu zingine tusiweze kuja kuwasagia kunguni wakipigwa. Maana kule Arsenal tunaamini kuwa huku mtu hawezi kueleweka akitumia kiswahili tu.
Huu uzi umejaa wazee/mababu wanakula pensheni tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
FB_IMG_1701871475686.jpg
 
Nimeona article ya James Pearce, anasema we dont need a "6", kwamba put Trent in the middle, and buy a right back.

Nimeishia kucheka tu.
FSG mouthpiece.. He should shut up kwa kweli.. Ndio hawa hawa walimpa Klopp kichwa kukubatia home grown lazy fellas mpaka leo tuna EPL moja tu aafu leo anaimbuka na hii kauli kwa kweli wanakera sana hawa watu ujue..

Klopp should be smart... Kwani akinunua huyo DM mmoja na CB mmoja kuna shinda gani...

Liverpool is big well operated

YNWA
 
Unaweza shangaa Leo Liverpool ikatoa sare, mechi za Liverpool dhidi ya timu za mkiani ugenini hazijawahi kuwa rahisi hata kidogo, hii mechi ni fainali
 
I'm trying to understand your point regarding his shot-stopping ability. I'll begrudgingly accept it, though i recall that, statistically, Raya is one of the best shot-stoppers in the league.

We've conceded a couple of sloppy goals. For some of those, Raya couldn't have done much about after the first and second line of defence were breached. Our players must do better. Our coaching must get better. Raya should probably also ultimately get better.

Mkuu, nakuelewa, nakuelewa sana.

But, as a LFC fan, nimeshuhudia jinsi a WC keeper anavyoweza ku-elevate your whole team/side.

Baada ya Reina, we struggled for years mpaka kuja kumpata Alisson, na kipindi hiki we won nothing big, when we had Mignolet & Karius, i have witnessed them costing us games, costing us trophies, so naelewa na naheshimu sana umuhimu wa a WC Keeper.

Raya, nadhani ame-make mistakes nyingi this season, but nyingi hazikuwa punished, au kuwa-cost games, hence huoni tatizo, jana at Luton, he made 2 key mistakes, ungekuwa kwenye tough grounds/big opponents (Anfield, Etihad, SB, St James Park (Utakubaliana na mimi Raya played a big part kwenye goal la Gordon at ST James Park), OT, Spurs stadium, Villa Park etc) his 2 key mistakes zingeku-cost points.

A keeper ambaye ana mistakes/errors nyingi kwenye his game, hawezi kuwa sustainable in the long run, umeamua ku-mask his weakness, and its okay.

Then, again stats zake lazima zitakuwa well balanced, because he's not getting tested a LOT, Arsenal ndiyo mmeruhusu shots chache sana golini, kabla ya game ya jana, mlikuwa mmeruhusu 28 shots on target, thats impressive & impeccable. so its obvious kuna weaknesses/mistakes za Raya utazifumbia macho, because bado hazijaanza kuwa-cost games, and i mean crucial games.

But, what do i know? he's your GK & problem.
 
Unataka kusema Alison Bakari hafanyagi mistakes?

Kuku bhana mnakua kama utopolo

Every players anafanya mistakes, suala la hapa ni hizo "mistakes" kuwa part ya "weakness" ya mchezaji.

And, you could have just used terms like LFC, Liverpool, Pool etc, ungeonekana Cooler na mjanja zaidi (kwa strangers), kuliko hilo neno Kuku.
 
He has improved kwa kweli, he has improved a lot.

Sema kuna baadhi ya vitu anakuwa mgumu sana kuviacha.

Headache, ni kuwa he complements Szobo & Macca vizuri kuliko Grav, for now.

our best MF dynamics (with Baj & Thiago out) ni;

Szobo-Macca-Jones

Elliott-Macca-Grav

Kwa kile nilicho-gather, kwa muda mfupi, naona, Grav na Szobo bado hawana strong dynamics and combinations.

Its coachable lakini.
Elliott anajituma mno hataki kula benchi tena anafosi starting line up ishu kwake huyu akianzishwa hua anakua AWOL muda mwingi sana kwa sasa awe super sub.
Grav is really trying to bring lots of aspect ambazo once they have chemistry na wachezaji wengine kati na mbele we are sorted for real..
Macca seems kama ameamka sasa mechi ya Ethad he passed the audition really well na hii ya Cottagers hakua mbaya sanaa minus the goals n well we know he ain't born a DM..
Domyy hizi mechi 2 amekua a bit here n there not affecting the games..

Pale kati Klopp aweke yotote tu we are ready...

YNWA
 
Unapoanza kuzungumzia mechi ya Liver vs arsenal kwnza inabidi umalize kazi iliyoko mbele...wte weekend Wana mechi ngumu...mnazungumzia mambo ya Christmas deciders wakati mpk mkifika mda huo hamjui mtakuwa kwny position gani...ligi ya Uingereza sio ya kupangapanga tu hyu atamdunda hyu....haipo....pia kuna factor ya injuries...hujui mpk mkikutana nani atakuwa na kikosi angalau...kwhyo mambo ni mengi....malizana na Sheffield leo then weekend crystal palace...na arsenal Aston villa then tuone itakavyokuwa....usije ukatabiri ya mbele...mmoja wenu akaangusha points kabla hamjakutana au hata wte mkaangusha points na City bahati ikqmrudia akarudi pale juu....English football is very unpredictable

Sija predict chochote.

I have looked at our next 2 opponents, na kuzingatia gaps/problems walizonazo now, and nikaipa my team a good chance.

Its about kuwa na trust na my team.
 
Mkuu, nakuelewa, nakuelewa sana.

But, as a LFC fan, nimeshuhudia jinsi a WC keeper anavyoweza ku-elevate your whole team/side.

Baada ya Reina, we struggled for years mpaka kuja kumpata Alisson, na kipindi hiki we won nothing big, when we had Mignolet & Karius, i have witnessed them costing us games, costing us trophies, so naelewa na naheshimu sana umuhimu wa a WC Keeper.

Raya, nadhani ame-make mistakes nyingi this season, but nyingi hazikuwa punished, au kuwa-cost games, hence huoni tatizo, jana at Luton, he made 2 key mistakes, ungekuwa kwenye tough grounds/big opponents (Anfield, Etihad, SB, St James Park (Utakubaliana na mimi Raya played a big part kwenye goal la Gordon at ST James Park), OT, Spurs stadium, Villa Park etc) his 2 key mistakes zingeku-cost points.

A keeper ambaye ana mistakes/errors nyingi kwenye his game, hawezi kuwa sustainable in the long run, umeamua ku-mask his weakness, and its okay.

Then, again stats zake lazima zitakuwa well balanced, because he's not getting tested a LOT, Arsenal ndiyo mmeruhusu shots chache sana golini, kabla ya game ya jana, mlikuwa mmeruhusu 28 shots on target, thats impressive & impeccable. so its obvious kuna weaknesses/mistakes za Raya utazifumbia macho, because bado hazijaanza kuwa-cost games, and i mean crucial games.

But, what do i know? he's your GK & problem.
Nadhani mashabiki wote huku wa Liverpool hawajawahi kushuhudia kipa mwenye ubora kama Allison kwenye hii timu
 
Elliott anajituma mno hataki kula benchi tena anafosi starting line up ishu kwake huyu akianzishwa hua anakua AWOL muda mwingi sana kwa sasa awe super sub.
Grav is really trying to bring lots of aspect ambazo once they have chemistry na wachezaji wengine kati na mbele we are sorted for real..
Macca seems kama ameamka sasa mechi ya Ethad he passed the audition really well na hii ya Cottagers hakua mbaya sanaa minus the goals n well we know he ain't born a DM..
Domyy hizi mechi 2 amekua a bit here n there not affecting the games..

Pale kati Klopp aweke yotote tu we are ready...

YNWA

Elliott, ni strange player, i think what we are trying to is coach him into a very technical RCM, it may take sometime, but kwasasa ni very good asset kuwa nayo kwenye bench.

Grav, needs to work sana on his defensive actions, na pia nadhani he was utilised vizuri sana against Everton, LCM, but not deep, and behind the ball.

Szobo, hii game ya 4, yupo kimya sana, ni matokeo ya sisi kujifanya tunaheshimu sana fair play, Hungary wanamtumia jamaa kama bar of soap, sometimes as a club itabidi uwe firm na your employees, yes, wanapenda sana ku-represent teams zao, but kama Szobo anarudi hivi kwasasa, it means anaharibu office yako, unaona kabisa ana fatigue, na ndiyo kwanza tupo december.

Uzuri, ni kuwa Hakuna International breaks mpaka March, so he will recover.
 
Nadhani mashabiki wote huku wa Liverpool hawajawahi kushuhudia kipa mwenye ubora kama Allison kwenye hii timu

And whats wrong with that?

After Jens Lehmann, Arsenal imefanya kitu gani cha maana na kina Almunia, Fabianski, Vito Mannone, Ospina, Szczesny, Leno etc? (Respect to Petr), usiniambie FA cups/EFLs, LFC won FA Cup/EFL with Kelleher golini.

20 years tangu Arsenal ashinde PL, na katika hicho kipindi, (Ukiachana na an aged Petr), Arsenal imewahi kuwekeza heavy on GKs? how many subpar GKs wamepita Arsenal? wameipa Club kitu gani?

In modern days,

ukiachana na Van De Sir, peak & young De Gea gave Utd a PL.

Same kwa Thibaut Courtois

Same kwa Ederson & Alisson.

Same kwa Ter Stegen & Oblak

Same kwa Neuer (Greatest GK of his generation for me). etc

Kuna advantage ya kuwa ni WC keeper kwenye your Club, GK ana umuhimu sana na CB, DM, Forward kwenye team, kwasababu ndiyo 4 players wanao-form a spine ya team.

Raya akishinda PL, i will praise him, but he's a mid-table GK at best.
 
FSG mouthpiece.. He should shut up kwa kweli.. Ndio hawa hawa walimpa Klopp kichwa kukubatia home grown lazy fellas mpaka leo tuna EPL moja tu aafu leo anaimbuka na hii kauli kwa kweli wanakera sana hawa watu ujue..

Klopp should be smart... Kwani akinunua huyo DM mmoja na CB mmoja kuna shinda gani...

Liverpool is big well operated

YNWA

Mkuu, buying a DM, kama tunaona Baj hayupo ready, ni MUST, siyo suala la ku-sugarcoat, kuna a lot of attainable profiles out there.

Kukaa na kuamua kuandika article kama ile ni ujinga sana, sijui The Athlete wanaona nini kwa James Pearce.
 
Back
Top Bottom