Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,339
- 30,439
Work in progress until Klopp say otherwise and the numbers will tell ..Watu hawamzingizii kabisa, miamba kila mechi kawaacha wenzie mbali sana yaani 5 kwa 2 duh.yeye kazidi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna Watu waliaminishana kuwa Liverpool ilikuwa ikibebwa na Mane.
Waliamini Salah bila ya Mane si lolote kwasasababu eti alikuwa akibebwa na Mane.
Mane kaondoka nadhani tumeona nani hasa alikuwa akibebwa na mwenzake.
Salah Moto ni uleule baada ya kuondoka Mane, but Mane aligeuka Bondia baada ya kuondokana na Salah.
Liverpool msimu huu imekuwa bora zaidi licha ya kuwa only Mac na Szobo ndiyo serious signing za Msimu huu.
Na wewe pia utaongezeka tuList inazidi kuongezeka.
Ninawa zoom...
YNWA
Leo hajasuka mbili kichwa?[emoji1787]Mpenda style, umeona msuko mpya ??[emoji28][emoji28][emoji28], kama alicia keys
Wanasema eti ni mwamba wa miambaWatu hawamzingizii kabisa, miamba kila mechi kawaacha wenzie mbali sana yaani 5 kwa 2 duh.yeye kazidi
Umebaki na DefWork in progress until Klopp say otherwise and the numbers will tell ..
YNWA
Mambo ya manunuzi hayoYani Nyunyez Striker anawazidi Cards mabeki?
Hapa kweli tumeuziwa Muhuni [emoji706][emoji706]
π€£ π€£ π€£ π€£ Inatosha miss Liverpool...
Gakpo, Nunez, Salah on target come on Reds.Mwanetu Quansah kaanza sina mashaka na hiki kikosi.
View attachment 2837522
Kaza tu fuvu Hiloππ€£ π€£ π€£ π€£ Inatosha miss Liverpool...
Days are numbered utasema cheers π₯
YNWA
Jeshi la mtu mmoja hili Miss Liverpool...
Zima Tv anaanza ugenini Palace yaaan huyu unae kila ukitazama benchi hayumo.Kaza tu fuvu Hiloπ
SawaJeshi la mtu mmoja hili Miss Liverpool...
π₯ π₯ π₯ I believe in Nunez and Klopp patience with th boy..
YNWA
Tv hatuzimiZima Tv anaanza ugenini Palace yaaan huyu unae kila ukitazama benchi hayumo.
Wewe na Klopp nani anajua zaidi ππππ
YNWA
Tutafute ile form yetu ya kumaliza game first half,, second half tujilinde dhidi ya injuries, miaka yote ambayo tulibottle title the reason was injuries and poor bench .Gakpo, Nunez, Salah on target come on Reds.
YNWA
Au kasuka twende kilioni πππ..
Weekend hii nikiambiwa nichague nani alose game yake kati ya Arsenal au Citizen ,, basi ntaomba Citizen alose Arsenal awin. Bado naamini Citizen ndio mbaya wetu we have been in pep nightmare for a long.
See you on 23 of december.If you think of catching arsenal, thatβs a daytime dream.
We donβt expect to drop points unless we are hit by injuries.