Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hahaha siku hizi ni mwendo wa kupewa pole tu. Hongera mkuu kwa comeback ya kibabe
🀣 🀣 🀣 Kutesa kwa zamu ndugu, mambo yanakwenda chap haraka leo mmewatia wengi hasara wale wa kubeti maana mlicheza safii dhidi ya Chelsea lakini leo hamjaamka kabisa sielewi hamkua tayari kwa hii gemu ama namna gani... Malizana kwanza na Bavarians UCL aafu tuonane Anfied wekedi.

YNWA
 
Saint Anne eeeeeh


Nadhani umeona kuna Alison Beckor na kuna Caohmin Kelleher.

Je, bado unashikilia msimamo Kelleher kama Beckor tu?

Au utakubaliana na MosDef kwamba Kelleher hatafikia level za Alison wala hatofikia hiyo level.
Msimamo wangu ni uleule
Kelleher ni the best golikipa
 
Naona msimamo ndio hivi...
View attachment 2837963

DullyJr naona unaachia usukani leo kama kipindi cha pili hamtopata jibu kwa Unai.

YNWA
Wakumuombea njaa zaidi ni kipara apoteze point zaidi na kesho arsenal sina wasiwasi nao hata kidogo wale ni wavulana wadogo hawawezi mbio za marathon za wanaume. Arsenal hata akituacha na point tano na hakika hatoboi February na hizo point ila kipara ndo moto wa kuotea mbali
 
DM muhimu aisee leo tazama Endo alivyo struggle vs Palace....
Tuna katika mno pale kati kati bila kuwapa ulinzi mabeki tutapata matatizo.
Kipara bila KDB kumlisha Halaand wanapata matatizo makubwa sana.
Cha msingi tujikusanyie pointi mapema za kutosha maana Kipara kuanzia Februari hua hatanii kabisa.

YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…