Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Mie huwa nalia sana
Hata kunizomea ni ngumu[emoji23][emoji23]
Aisee,humu ndani siku tuonane wote tuangalie mechi pamoja...itakuwa ni vituko hapo jamani[emoji1787]
Mnataka ageuke fenicha?
Tupige mpunga mapema
Miss Liverpool Saint Anne helooo... Tazama live score ubora wa wa kipa wako uone ngapi ngapi huko.
YNWA
Mimi naona Tubadilishane na USG wao tuwape li Nunez sisi watupe Amoura [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu nae wa kuondoka,anachukua mshahara wa bure tu.msimu mzima yuko nje.
Trent Hana defensive qualities mkuu
Manure sio wepesi sana
Yani game 17 hajakanyaga Uwanjani, anarudi game ya 20 anacheza dakika 10 then game ya 25 anaumia tena anarudi ya 34 anamaliza game 4 za mwisho.
Hapo unakuta Msimu mzima kacheza game 6 tu zilizokamilika.
Halafu amechukua Mshahara wa Ligi nzima. Huyu naye ni new version ya Keita na OX.
Huyu tunaambiwa ni Bull Striker wakati ni BALEKE anayelipwa vizuri tu.
Ifike wakati wachezaji wanaokula mshahara wa bure tuwatimue
Thiago nadhani umri unachangia hawezi kucheza mechi 20 mfululizo ataumia tu kidogo then atacheza kidogo aachwe ..!
Matip muda wa kumtema umefika mwishoni mwa msimu aachwe ..
Nunez asipojiangalia tutafuteni mwengine
Klopp keshawafukuzisha Makocha kadhaa paleWatu wanasahau ile ni derby, thanks its Klopp our coach, kwa sababu wengi humu wangeandaa timu as if unaenda kucheza na Luton au Norwich huko.
They are united, regardless wa wanayoyapitia we cant take it easy. Tough game.
I don’t expect thriller goals, but i wish to bust them badly
😂😂😂😂Miss Liverpool haha atakua ana makengeza amekula sana ndizi na wali huko Qyela.Embu mumpumzishe Saint Anne Miss Liverpool.
Hakuwa serious saaaaaana alikuwa kwenye kilele cha furaha. Halafu yeye ndiye haoni utofauti sio UHALISI, si unajua hisia za kina dada kwenye mpira??
Sasa hapo nunez chance missed 15 goals 4View attachment 2843693
Ikiwa wewe ni mtu wa mpira utakuwa umeelewa jambo hapa..!!! Ni vile tu mmeamua kuuchagua upande.
Derby ni derby tuu, wachezaji, kocha, wasiingie na akili za kuona wataifunga tuu United kirahisi au kutaka kuidhalilisha, muhimu ni 3 pointsKesho hiyo Anfieled pale. Liverpool 0 Manchester United 3.
Msimamo wangu ni uleuleEmbu mumpumzishe Saint Anne Miss Liverpool.
Hakuwa serious saaaaaana alikuwa kwenye kilele cha furaha. Halafu yeye ndiye haoni utofauti sio UHALISI, si unajua hisia za kina dada kwenye mpira??
Soon lini hiyo?He will become good SOON
Mmh aiseeSio ajabu tumewahi kuonena tukaongea ila hizi ID tu ndio msaada, maana watu wanaotumia JF wasiri sana
Afisa Mkuu wa masomo ni Captain MarvelousDah.!!! labda nyie wale. Sipo miongoni mwao.
Katafute risiti ambazo zinaonesha nimesema Salah auzwe.
Grau ndiye alikuwa afisa masoko, tumuuze Salah.