Mnyakatari
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 2,073
- 1,862
Nunez ni fambaNgoja aje Mosdef na utetezi wake uliotukuka kwa huyu Nunez
HahahaaaaMeaning kila mchezaji alitaka headline aisee....
Kwa hio walita kama hivi..
Salah spank Tag boys....
Diaz on spot as Tags fall again..
Business as usual Trent claiming MF by nailing Tag boys.. Nk nk nk
2 points lost against a toothless Manchester United sio mara ya kwanza hawa jamaa wakiwa out of form kutubana nadhani pia ma over confidence ya wachezaji...
Nwa that done n dusted next Carabao Jumatano then Arsenal on the road.
YNWA
Yuko Liverpool?Ollie Watkins .....bonge moja la striker
Yuko MongoliaYuko Liverpool?
Nyie kombe lenu la wakati wa Corona liko wapi?Mushukuruni sana korona nyie punyeto fc..ndio ili wasaidia kupata zil trophies
Another 20 yrs hamtagusa chochote.
Mi mwenyewe sikuangaliaSiku cheki gemu.
YNWA
Wewe utakuwa muoga wa kuangalia mechi ama majukumu mengi. Derby kama hii tena jumapili, hakuna cha kujiandaa kwa harusi ya rafiki, unaikosaje?Mi mwenyewe sikuangalia
Nilivyoona tu manyumbu yameanza kunipigia simu na kunitumia message nikajua tu kimenuka🤣
Ukiona mchezaji anasifiwa movement zake sijui mikimbio, kuliko anavyolicheza soka ujue hakuna mchezaji hapo.
Mchezaji kazi yake kucheza mpira sio movement. Kubalini Nyunyezi pale mmepigwa.
Movement hata miti inafanya.
But uwe realistic basi jitofautishe na kina Ollachuga na Allypipi.Mpira ni burudani, hiyo burudani hatuipati Liverpool pekeyake
Huko nitaenda tu maana huko pia wanacheza mpira mzuri na ni wapinzani wetu
Najua ni ngumu kwenu kuona mazuri ya droo ya jana ila acha niwape baadhi.
1. Ten Hag anapata nafasi ya kupumzika kidogo na presha kushuka. Manyumbu hawamtimui. Atashinda/kutoka sare mechi 2-3 halafu vipigo vitarejea juu yake. Hii ni muhimu kwa timu zingine nyingi zinazohitaji kuchota points kwa manyumbu.
2. Liverpool wanaona mapema wapi kuboresha January ili kupigania ubingwa. Pamoja na kuwa ni derby ila bado mtapata cha kujifunza.
3. Sare ya 0-0 inawapa point 1 bila kuimarisha GD yenu huku ikiturudisha sisi pale kileleni tunapostahili.
Ww sio muangaliaji mpira tunajua ww ni kucheki live score halafu unakuja kupiga keleleMi mwenyewe sikuangalia
Nilivyoona tu manyumbu yameanza kunipigia simu na kunitumia message nikajua tu kimenuka[emoji1787]
Mushukuruni sana korona nyie punyeto fc..ndio ili wasaidia kupata zil trophies
Another 20 yrs hamtagusa chochote.
Wasishuke daraja. Wacchezee nafasi kati ya 13-17 tu inatoshaYani wewe umekusudia Manure washuke Daraja kabisa ndiyomana hutaki ETH afukuzwe.
Tulimuonya humu kuwa Derby ni derby tuu
Ngoja aje Mosdef na utetezi wake uliotukuka kwa huyu Nunez
Duuh umemaliza King na ujumbe huu tumeupata.But uwe realistic basi jitofautishe na kina Ollachuga na Allypipi.
Kuanzia mwaka 2018 kushuka chini Liverpool tulikuwa tunajuilikana kuwa ni Watu ambao kwenye Nyuzi yetu tupo very serious mpaka wapinzani wakahisi humu tupo Wazee Watupu (kulingana na historia yetu).
Yani ilikuwa huwezi kukuta Mshabiki wa Liverpool kuandika posts za kiajabuajabu.
Michango yetu ilikuwa inaheshimika, lakini sasahivi michango yetu kama ya Ollachuga tu kwasababu ya mizaha mengi.
Nawaambia wanaomsifia eti mikimbio yake inasaidia wengine wafunge!Yani unatufundisha tukubali kuwa Nyunyez tumepigwa kama vile huoni tunavyomlalamikia au?