Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Meaning kila mchezaji alitaka headline aisee....

Kwa hio walita kama hivi..
Salah spank Tag boys....
Diaz on spot as Tags fall again..
Business as usual Trent claiming MF by nailing Tag boys.. Nk nk nk

2 points lost against a toothless Manchester United sio mara ya kwanza hawa jamaa wakiwa out of form kutubana nadhani pia ma over confidence ya wachezaji...

Nwa that done n dusted next Carabao Jumatano then Arsenal on the road.

YNWA
Hahahaaaa

Au trench bursts the hog

Anyways…. Asses wanakuja anfield, tutawapaka lotion
 
Mi mwenyewe sikuangalia


Nilivyoona tu manyumbu yameanza kunipigia simu na kunitumia message nikajua tu kimenuka🤣
Wewe utakuwa muoga wa kuangalia mechi ama majukumu mengi. Derby kama hii tena jumapili, hakuna cha kujiandaa kwa harusi ya rafiki, unaikosaje?
 
Ukiona mchezaji anasifiwa movement zake sijui mikimbio, kuliko anavyolicheza soka ujue hakuna mchezaji hapo.

Mchezaji kazi yake kucheza mpira sio movement. Kubalini Nyunyezi pale mmepigwa.

Movement hata miti inafanya.

Yani unatufundisha tukubali kuwa Nyunyez tumepigwa kama vile huoni tunavyomlalamikia au?
 
Mpira ni burudani, hiyo burudani hatuipati Liverpool pekeyake
Huko nitaenda tu maana huko pia wanacheza mpira mzuri na ni wapinzani wetu
But uwe realistic basi jitofautishe na kina Ollachuga na Allypipi.

Kuanzia mwaka 2018 kushuka chini Liverpool tulikuwa tunajuilikana kuwa ni Watu ambao kwenye Nyuzi yetu tupo very serious mpaka wapinzani wakahisi humu tupo Wazee Watupu (kulingana na historia yetu).

Yani ilikuwa huwezi kukuta Mshabiki wa Liverpool kuandika posts za kiajabuajabu.

Michango yetu ilikuwa inaheshimika, lakini sasahivi michango yetu kama ya Ollachuga tu kwasababu ya mizaha mengi.
 
Najua ni ngumu kwenu kuona mazuri ya droo ya jana ila acha niwape baadhi.
1. Ten Hag anapata nafasi ya kupumzika kidogo na presha kushuka. Manyumbu hawamtimui. Atashinda/kutoka sare mechi 2-3 halafu vipigo vitarejea juu yake. Hii ni muhimu kwa timu zingine nyingi zinazohitaji kuchota points kwa manyumbu.
2. Liverpool wanaona mapema wapi kuboresha January ili kupigania ubingwa. Pamoja na kuwa ni derby ila bado mtapata cha kujifunza.
3. Sare ya 0-0 inawapa point 1 bila kuimarisha GD yenu huku ikiturudisha sisi pale kileleni tunapostahili.

Yani wewe umekusudia Manure washuke Daraja kabisa ndiyomana hutaki ETH afukuzwe.
 
Cha kushukuru gap dhidi ya City bado ni lile lile, sema shida tunadroo na Arsenal, City akishinda anapunguza gap kwa wote, akianza mambo yake ya wins 14 mfululizo ndio tatizo hilo
 
But uwe realistic basi jitofautishe na kina Ollachuga na Allypipi.

Kuanzia mwaka 2018 kushuka chini Liverpool tulikuwa tunajuilikana kuwa ni Watu ambao kwenye Nyuzi yetu tupo very serious mpaka wapinzani wakahisi humu tupo Wazee Watupu (kulingana na historia yetu).

Yani ilikuwa huwezi kukuta Mshabiki wa Liverpool kuandika posts za kiajabuajabu.

Michango yetu ilikuwa inaheshimika, lakini sasahivi michango yetu kama ya Ollachuga tu kwasababu ya mizaha mengi.
Duuh umemaliza King na ujumbe huu tumeupata.

We need to go back to the roots of who we are as Liverpool.

YNWA
 
Back
Top Bottom