Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kama tulivyo ongea. Leo pelekeni vitoto na kipa wa benchi. Jumamosi Ze Ganaz wenyewe wababe wa mujini tunakuja hapo Anfield.
 
Duuh hii sijawai kuistukia aisee kumbe udhaifu wa TAA kuzuia unambana dogo Domy kushambulia na kua free kwa kua sasa kazi yake inakua kulinda spaces anazooacha TAA akisogea juu hii ni tatizo kubwa kwetu.. Huyu dogo Macca sio wa kutumika hivyo in fact huyu Klopp alitakiwa kopi n pasti KDB anavyotumika pale Manchester city.

Klopp ni mbishi sana huyu mzee anachokiamini basi ndio hivyo hivyo kitakwenda hakuna namna wakati mwingine yes na wakati mwingine no na hapa ni NO kwa kua tuna sare kadhaa ambazo on another day nu ushindi lazima Klopp akumbali ipo tatizo mahala... Hizi gemu mbili Luton na Manchester United ilitakiwa ushindi tu hakuna kingine.

Kwa mara ya kwanza chini ya Klopp tuna MF murwa sana Macca, Domy, Grave, Elliott, Jones na Endo especially kwa cups sasa kujaribu kuwabadili wanavyojua wao ili mradi kuwabakisha wengine kwenye starting line up ni ishu aisee. Na kwa hii taarifa ni dhahiri tunahitaji sweeper MF ambae atafanya kazi hii na muda huo huo dogo Robertson apone mapema kwa kua kule upande wake pamepwaya upande wa assist..

YNWA
Chuki dhidi ya Trent
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatari sana

Huyu jamaa auzwe tu aisee
Ni mchezaji mzuri lakini mwaka mzima yupo wodini.

Utamuuzia nani injury prone kama yeye? Kwa kuwa mkataba unaisha summer hii ataondoka as free agent yeye na Matip.
 
Alishindwa kumuamini Bajcetic kwenye mido saiv anamuamin Nunez kwenye Foward [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Bajcetic aliumia mkuu, kabla msimu haujaisha, aliporudi msimu umeshaanza hakuwa na pre season, na kwa umri wake Klopp hakutaka kumpa majukumu makubwa, kuna games alicheza akaumia tena.

You cant blame Klopp kwa Bajcetic. Kama angemalizia zile mechi zilizobaki za msimu as our DM nafikiri season hii angeanza as our first or 2nd DM.

Klopp aliulizwa pia why hampangi Bajcetic alijibu “ ametoka injury hauwezi kumpa game time kwa haraka, na ukweli bado mdogo kuna muda wa kujifunza na ku recover”
 
DOMINIK.

mpe "leseni" kidogo ya ku-roam high up the pitch, and he will give you goals kama hizi.

SENSATIONAL FOOTBALL PLAYER.

Same Group la Whatsapp wa Cameroon huko I told them, Szobo leo yupo free kwa sababu Trent hayupo. Uwe wa Trent una mlimit Szobo offensively anakuwa chini sana.

See today
Endo, Jones, Gomez played well defensively kiasi cha Szobo kuwa free sana offensively.

Nakumbuka mechi iliyofanya Szobo aanze kutazamwa kwa jicho la talent kubwa ni Vs B’mouth.
 
ed0e62d3-743c-4164-9aca-a096f755ab8f.jpg

Kuna ile fainali ya penalty 2021/2022 dalili za kujirudia hii hapa
 
Back
Top Bottom