King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,117
- 6,897
title race
Arsenal na Liverpool ni wafukuza upepo tu !
City anafunga busta zote round ya pili, hapa ndo anapokuwa serious, pia ana depth,,,,
Msisahau Kdb yupo anapasha huko bado kidogo mtamuona kwa ground !!!!!!
Alisikika deluded fan mmoja akitwetatitle race
Arsenal na Liverpool ni wafukuza upepo tu !
City anafunga busta zote round ya pili, hapa ndo anapokuwa serious, pia ana depth,,,,
Msisahau Kdb yupo anapasha huko bado kidogo mtamuona kwa ground !!!!!!
Hongereni aisee. Sisi tunazingua kijinga sanaKwa hiyo bado tunakaimu au hujaangalia msimamo?
Aisee. Sisi ni wa hovyo sana. Acha tu niwape baraka zangu muendelee nyie na kusaka ubingwa.
Wachache wenye akili watakuelewatitle race
Arsenal na Liverpool ni wafukuza upepo tu !
City anafunga busta zote round ya pili, hapa ndo anapokuwa serious, pia ana depth,,,,
Msisahau Kdb yupo anapasha huko bado kidogo mtamuona kwa ground !!!!!!
Pasha tutitle race
Arsenal na Liverpool ni wafukuza upepo tu !
City anafunga busta zote round ya pili, hapa ndo anapokuwa serious, pia ana depth,,,,
Msisahau Kdb yupo anapasha huko bado kidogo mtamuona kwa ground !!!!!!
Pole mkuuHii ndiyo ile waswahili wanaita 'kukaimu nafasi kwa muda'?
Very rightTatizo City anazengea zengea behind, akishinda kiporo chake ni point 2
Gundu letu tena tukiongozaga ligi tuu game inayofuata inakua ni "trick" game , kama hapa ni Newcastle
Hii ligi mwanga utaonekana vizuri march
Mkuu hii game imekaaje ? Na vipi unaona kuna uwezekano tukavaa medali msimu huu?Mechi ijayo ni Liverpool vs Newcastle aka Magpies wamejeruhiwa na Kocha wao kakalia moto, mashabiki wameanza kuwazomea haitakua business as usual...
YNWA
Mbona umetaja watatu tu? Itakuwaje wawili waanze na wawili wawe bench?
Bajetic yes... Thiago kwa sasa asuburie tumeshinda ndio aingie..
YNWA
Mmoja ajitolee kunifundisha kuhusu mambo ya offside na VAR
Mbona mimi nakuwaga sielewi.
Yaani mtu akizidi ni offside...sasa kama wapinzani wakigoma kukimbia,,wewe uogope kukimbia mbele kisa utazidi?
Kama hili goli la Elliot..siyo hili tu!
Na lile la Gakpo..na mengine
Hebu nifundisheni dada enu,,
Note:Nifundishe kwa step, Mimi sijui
Usifundishe kama mtu anayejua kabisa.
Kama hutaki kunifundisha usinipopoe,pita kimya pambana na hali yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
kumbe Gomez hajawahi kufunga goli?
Gomez salute salute sana amepata kura yangu hakuna haja ya kumuuza tena abakie tu klabuni kwani kwa namna anavyotumika na Klopp pindi tuna majeruhi ni next level. Hii LB alicheza vyema kipindi cha Rodgers na sasa tena angalau ametuonyesha kwamba anastahili dakika zaidi pale.. Atupe ma assist na hatuna haja ya kuwakimbiza Robbo na Tsimikas warejee.
YNWA
Hata city alikamia na Sisi akaliwa game iliyofuata
It’s not easy playing against LFC
Hakukamia sio?Hahah City alikamia Etihad?? Kweli kops mpo KILELENI.
Hahah City alikamia Etihad?? Kweli kops mpo KILELENI.