King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,117
- 6,897
title race
Arsenal na Liverpool ni wafukuza upepo tu !
City anafunga busta zote round ya pili, hapa ndo anapokuwa serious, pia ana depth,,,,
Msisahau Kdb yupo anapasha huko bado kidogo mtamuona kwa ground !!!!!!
Hata kama ni maoni yako lakini utumie akili japo kidogo huu sio mwaka 2019