Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Kuna mechi unahitaji players wa aina hiyo, kuleta utulivu with quality movements.

Namsubiri sana huyu jamaa arejee, kuna sehemu yake bado ya kumalizia mkataba wake.
 
Kuna mechi unahitaji players wa aina hiyo, kuleta utulivu with quality movements.

Namsubiri sana huyu jamaa arejee, kuna sehemu yake bado ya kumalizia mkataba wake.
Am okay with the status quo kaka... Actually with addition ya DM ili Macca na Domy wasifungwe pingu tena wasogee mbele kiasi ili kuongeza mashambulizi na magoli...
Thiago atakua anaingia dakika ya 70 au 80 huku tukiwa tumeshinda japo sina hakika kama kweli hata gemu 10 atacheza msimu huu EPL is aggressive haitaki soft boys inahitaji hard ones...

YNWA
 
Salute mkuu naamini tutaanza new year Kwa kishindo inabidi Tu tubebe trophy this season
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼Klopp akicheza karata vyema dirisha hili kupata DM tuko vizuri au Klopp aedelee na mipango ile ile ya mpangilio wa sub sahihi kwa wakati sahihi... Msimu huu sub wametuweka pazuri sana kwa ma assist, na magoli....

Tutamkosa Salah na Endo kwa mechi kadhaa EPL, Carabao na FA lakin kwa kua bado waliopo wakitulia wanauwezo magoli yatakuja tu ni wakati sasa wa Nunez na Gakpo kuonyesha wapo capable kuridhi majukumu ya Salah kwa vitendo.

YNWA
 
Wenyewe wakikuskia unamsema vibaya main striker wao😂😂. Ila to be honest Jesus was never any good and that's why city binned him off, Arsenal fans just think every signing they make is a world beater, same as Zinchenko, white, viera etc etc
 

Totally agree with you. Hakuna haja ya Kua Na ball huggers in our Midfield hiki kitu ndicho kinawacost arsenal, they have too many ball huggers(Odegard, martinelli, Saka, Trossard they take too many touches) ukishakua Na watu wa hivi wengi Timu inakua too predictable
 
Huko Arsenal akina verifaidi yuza na wanatembo wenzie akina HENRY14 wamekinukisha😂😂

Uzi wao unachekesha balaa
Hadi wengine wanaanza kupigana vijembe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…