Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa kweli
Nakumbuka msimu ulipoanza nilikuwa namponda

Wewe na Def mkawa mnasema Gomez ni mzuri
Nikauliza huyu huyu Gomez? [emoji38]

Heheh sio mbaya ndivyo mpira ulivyo na ndio ladha. Mkiwa mnakubaliana kila kitu kama kondoo ladha haipo hapo.

Tukae sawa tusubiri goli lake la kwanza.
 
Vyovyote itakavokua Salah na TAA najua hawatakosa... Here we go
🤣 🤣 TAA jana na kuna block moja aliifanya nikasema huyu dogo ni multifunctional player wakati akiamka powaaa....

Salah hatakosa, TAA, Allison, VVD, hao ni guaranteed.
Domy, Nunez hawa wapambane mzunguko wa pili namba zao zikae sawa na pengine watasogea sogea.

YNWA
 
Think he will still end up at Madrid.

But kama Madrid wakizingua race itakuwa open.

Uwezo wa kumsajili Mbappe tunao, but issue ni FSG, kama wataona financial package yake ni reasonable.

Hata mie nawapa 70% Madrid kumchukua Mbappe. Hata Mbappe akili ipo Santiago.

Hata kibiashara ni good deal. Tutaongoza kufuatiliwa sana which is good for tv rights
 
Hivi Fabinho nani alimroga akaue kipaji chake ligi za matopeni?


Ila hata ningekuwa mimi ningeenda kuvuna hela za dezo

i

Pesa ndizo zimewapeleka kule hakuna kingine. Wengi walioenda ni above 30+ huwezi kushangaa, walikwenda kuchukua pension.

China na USA waliwahi kuja na project kama hii, walibeba wachezaji wengi kutoka ulaya, lkn zilifia njiani.
 
Heri matip tumfanyie ubinadamu amepambana majanga yakampata

Ila Thiago, Yaani Thiago abaki tena?
Aisee nyie watu😳
Abaki kuendelea kushinda wodini😳
 
Umebadili tena msimamo
Unasapoti Thiago kubaki?
 
Yani hutaki kutoa room ya Imani japo ndogo kwa Nunez 😂

Juzi kuna kitu nimeona kwake amini atakuprove wrong.
Mikimbio bila magoli yake kwangu mimi hapana
Tulipigwa kwa ile bei.

Ndiyo ana umaridadi wa kukimbia kama mnavyosema
Na kutengeneza assist
Lakini kazi kubwa aliyoijia ya kufunga inamshinda.
Tena magoli ya wazi

Sisi huku Nanjilinji masuala ya kukimbia sijui miondoko, na blah blah nyingine kama hizo hatuzingatii... Tunachozingatia ni magoli.

Yale magoli hata ukinichukua mimi japo sijui kabisa mpira ila pale sikosi.
 
Kuna jinsi Jones anataka kutuaminisha lkn anachelewa.

Kabla ya kusema lolote nimpe hii january to february.

But since his debut i rated him highly.

Jones ni good player kwa his age but has a problem in consistency he can't play back to back with the same Performance.
We've to wait until atapofika kwenye his peak maybe 24 or 25 ya his age.
 
Ni kweli Nunez uwepo wake uwanjani ana involve, anapress anacheza wing na CF lakini unakosa chance za wazi timu ikiwa 1-1 au 0- 0 then mpaka Klopp afanye Sub ndio inakuja kulipa, it means huna faida uwanjani

Tutacheza mechi za mtoano Europa league ukose chance za hivo walai unatolewa mapema

Nunez is 24, kwa mpira wa kisasa amesha mature tayari
 

You're right 🤝
 

He'll score and you'll be happy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…