Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Unadhani hata najua basi!
Hata sijui[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuseme mara moja.
Sio strika.

Ila ukija kwenye role yake huko hauchomoki aisee maana kwanza ana errors kibao zilizozaa magoli.

Katazame Uefa CL final 2022 ujione weakness yake ilivyotuua.
Anatoa maassist.

UEFA tulifungwa bao moja kwa nunge.

Wote akina Mane,Salah ,Firmino ,Origi na wengine kwanini wasifunge[emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23]
Kwani siku hiyo mastrika hawakucheza?
Kazi yao ilikuwa nini humo ndani?

Wangefunga magoli ya kutosha wala wasingehangaika kumsema Trent.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nami nikujibu kisiasa kwa kukuuliza swali, Kwa nini alienda kuingilia jukumu sio lake?? Wakati wenye jukumu walikuwa eneo la kazi. Huoni ni kiherehere cha kutaka sifa?? Kikamponza
 
Nami nikujibu kisiasa kwa kukuuliza swali, Kwa nini alienda kuingilia jukumu sio lake?? Wakati wenye jukumu walikuwa eneo la kazi. Huoni ni kiherehere cha kutaka sifa?? Kikamponza
Kama wameshangaa muda wote bilabila angefanyaje?
Tulikosa points Kwa uzembe wa mastrika
 
Aliuzwa kwa euro 19m
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…