Yah it is very tough game my friend.....! Na huyu Mzee Ancelotti hataki Mchezo kabisa....!
Ila mkuu msimu huu mko vibaya aisee...! Nawapa pole ndugu zangu, maana Hali inakatisha tamaa...
Ngoja tuone mkuu Leo mtatoka vipi...!
Yah it is very tough game my friend.....! Na huyu Mzee Ancelotti hataki Mchezo kabisa....!
Ila mkuu msimu huu mko vibaya aisee...! Nawapa pole ndugu zangu, maana Hali inakatisha tamaa...
Ngoja tuone mkuu Leo mtatoka vipi...!
Aisee dah
Kweli tuko ovyo mpaka sasa!!!ila nitafurahi kama tukifufukia darajani weekend.....ha ha ha hah
Bado saa 1 na dakika 40 tu goma lianze...!
game ni saa ngapi wakuu..?
2245 eat
Liverpool anashinda leo!.....
Ha ha ha ha ha niambie aiseee, upo!!Naona mnakaa sawa sema mmeamka wakati mna fixture ngumu. Dah Bora yenu, uku kwetu Mwl. ananitia wazimu na upangaji wake usio na frst eleven,
mimi wala sina pressure....naijua timu yangu,nikiingia top four ni big bonus ingawa tumeanza kuonyesha uhai kidogo
Hizi pesa alizotumia "The carefully chosen one" kwa hii misimu yake mi3, angepewa Rafa angefanya transfers za maana sana.
Kama ni ugonjwa naona kama nyinyi mna kaji unafuu, team yenu in ka fighting spirit. Kwetu sasa dah kama mgomo baridi
Mpira unadunda ila sio bahariniMpira nao una maajabu yake mara tumemkalisha Madrid mbele ya Santiago bernabeu......... πππππ