MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiacha msimu huu Manchester united sio biggest spender kabisa kwenye issue za transfers, na wamefanya vizuri sana kwenye ligi kuu, Arsenal na wenyewe sio watumiaji wazuri na wanafanya vizuri ukilinganisha na Liverpool kwa miaka mitano iliyopita. Kumbuka kuna timu hazitumii sana fedha na zinafanya vizuri ( A. Madrid, Borrusia D, Arsenal)
Soma hii link (Ingawa inaweza ikawa sio credible sana) ya transfer fees kwa miaka mitano iliyopita af uje unipe hilo darasa na uniambie ubahili wa FSG upo wapi, ulinganishe na ule wa akina Thom Hicks na kipindi gani cha utawala wa hao matajiri timu ilikuwa inafanya vizuri.
![]()
League Table of Premier League Spending Over 5 Years, Where Do NUFC Come? | NUFC The Mag
Zilinganishe na Liver na sio timu nyingine kwa miaka mitano iliyopita, kushiriki tu UEFA kwa timu ni moja ya mafanikio, Niambie hii Liver kwa miaka mitano iliyopita imeshiriki mara ngapi af Linganisha na hizo timu. Soma vizuri post yako ya kwanza ulisema wakina Henry ni wabahili hawajafanya investment ya kutosha (Labda sijakuelewa investment gani unazozizungumzia wewe ambazo hawajafanya), By the way kama umeona naleta ubishi, basi nimeacha huo ubishi nipe sasa hilo darasa ulilotaka kunipa.By the way, usitake kuleta ubishi usio na tija.... Dortmund na Arsenal zinafanya vizuri?
Hizi pesa alizotumia "The carefully chosen one" kwa hii misimu yake mi3, angepewa Rafa angefanya transfers za maana sana.RB,a world class manager
Na Mimi niko tayari kwa sherehe ya magoli....!
Uko pouwa Lkn mkuu?
Hapo hakuna news. Bado nahitaji unitafutue transfer fees na players salaries za 80's.
By the way, usitake kuleta ubishi usio na tija.... Dortmund na Arsenal zinafanya vizuri?
Ha ha ha ha ha Ntunzu nipo, Nataka nishinde kesho mseme nimebahatisha!!!Moja linatosha......Its a tough game dah