toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,309
- 2,577
Hongereni liverpool kwa ushindi wa jana.kwangu mimi liverpool jana chini ya klop tactically haikuwa na maajabu sana.Ila kuna vitu viwili ambavyo klop amewazidi makocha wote wa epl.
1-utilization of resources.jamaa anajua kupata the best out of average.ukitazama wachezaji wa liverpool sio world class vile isipokuwa wachache tu,ila wanakupa a very best perfomance.hapa ndipo unajifunza maana ya kukusanya wachezaji na kutengeneza timu.
2-Fighting spirit.he is next to none.usifanye tathmin kwa mech tano au kumi zilizopita.Sijui huwa anawaambia nini,sijui huwa anawalisha nini,sijui huwa anawaahidi nini, ila tu ukiwatazama wachezaji wa liverpool usoni unaona kabisa hili ni jeshi lenye comander and they are ready to give it all for their team.
Liverpool ni mahali pekee unapata ile spirit ya kiingereza hasa.guardiola,arteta,poch wanavikosi vyenye quality hasa ila spirit yao kwa timu ni average.
Mwisho wa msimu kuna kitu watapata ila sijui ni nini.
Hongereni
1-utilization of resources.jamaa anajua kupata the best out of average.ukitazama wachezaji wa liverpool sio world class vile isipokuwa wachache tu,ila wanakupa a very best perfomance.hapa ndipo unajifunza maana ya kukusanya wachezaji na kutengeneza timu.
2-Fighting spirit.he is next to none.usifanye tathmin kwa mech tano au kumi zilizopita.Sijui huwa anawaambia nini,sijui huwa anawalisha nini,sijui huwa anawaahidi nini, ila tu ukiwatazama wachezaji wa liverpool usoni unaona kabisa hili ni jeshi lenye comander and they are ready to give it all for their team.
Liverpool ni mahali pekee unapata ile spirit ya kiingereza hasa.guardiola,arteta,poch wanavikosi vyenye quality hasa ila spirit yao kwa timu ni average.
Mwisho wa msimu kuna kitu watapata ila sijui ni nini.
Hongereni