Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Nunez yupo kwenye process ya kupikwa, bado hajaiva. Akiiva atakuwa mtamu. Ni suala la muda tu. Saint Anne utamkubali tu dogo very soonnunez mnyama[emoji16][emoji16]View attachment 2865527
Mane tunajua ni muislam swafi, kwahiyo muda wote huo alikua hat*mb!Dah yaani mwaka 2018 nilipopata laki 2 tu niliamua kuoa na nikaona maisha niliyapatia kwelikweli lakini Sadio Mane na Utajiri wote alionao ndiyo kaona jana alikuwa bado anajitafuta [emoji134][emoji134]View attachment 2865601
Umemsahau Musialosk na nyoni na MottonNaona wengi mikopo imekatishwa na Liverpool January hii sielewi ilikua na impact dogo sana huko walikokua au niaje kasoro Owen ambae ni Klopp ameseme arudi kukava LB..
Wapo
Owen Beck
Ramsey
Rhys
Philips
James Balagizi
Fabio C
YNWA
Masha'Allah 🔥🔥🔥Dah yaani mwaka 2018 nilipopata laki 2 tu niliamua kuoa na nikaona maisha niliyapatia kwelikweli lakini Sadio Mane na Utajiri wote alionao ndiyo kaona jana alikuwa bado anajitafuta 🙆🙆View attachment 2865601
🤣🤣😊 Watu wanamponda eti na makengezaMasha'Allah 🔥🔥🔥
Ostaz kaopoa chimbo
Dada amepata mume mwema ,kijana mstaarabu sana mshika dini.
Nikikua mkubwa nataka niwe kama huyu binti.
Wanaomponda wajinga🤣🤣😊 Watu wanamponda eti na makengeza
Halafu ni midume sijui inatakaje yaaniWanaomponda wajinga
Kwani makengeza siyo macho?
Ni nani huyo alikuwa anamfananisha Salah na Saka?
Ama alifananisha hizo initial letters[emoji23]
Mtaje nimuombee msamaha
Aisee jana alitupa game poa sana. Hakuwa na zile challanges za kuumiza timu maana jamaa kuna muda anakosa utulivu mno. Ila kwa jana aisee 9/10 nampa. Alikiwasha.
Nilisoma mahali, Klopp aliuliza kuhusu ku command backline mechi ya jana baada ya VVD kuumwa, Ibou akasema i am here, i will command. Aise na alicommand kweli kweli.
My boy Quansah Vvd 2.0
Huyo Musia ni balaa aisee hopefully ile hype ataweza kufika hizo levels.Umemsahau Musialosk na nyoni na Motton
Polish Messi miaka hii miwili amekua na slow progression, future is bright sana akifuata maelekezo ya MwalimuGordon was so impressive before ile long injury yke. Ngoja tuone kama akipata nafasi atarudi yule yule au vipi. Huyo Melkamu ni mu Ethiopia dogo mzuri sana aise.
Oakley Cannonier mzuri sana japo bado hajapata time nzuri ya kutrain na senior team.
Namuona Calum Scanlon anapata sana airtime kutrain na senior player ila hapati japo dk 2,3 ni LB huyu.
Kuna mpoland yule sifa anamwagiwa ila sijamuona hata senior team hata bench tu. Mateusz Musialowski wenyewe wanamuita Polish Messi