Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,339
- 30,439
Mechi ya FA Jumapili kati ya Liverpool na Arsenal iliweka rekodi ya kusikilizwa na watu milioni 7.6.
YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona maana mpaka nimevutia kwenda kuitizama
Trent wangu jamani🥺Kwa kweli nenda tu maana kaanza kuka sawa majeruhi haya hapa yaaan ni shindaaa tupu....
YNWA
Shukrani sana uwe na mwaka wa mafanikio sana ndugu.Salama salama Captain [emoji3577]
Ni mrefu sanaWewe hawa ma HB mbona wakooo tuuuuu..... Leo natamani acheze RB ku kava kwa Anorld.
YNWA
Dogo baada ya kulalamikwa mno ameanza kuongeza bidii positioning yake wakati wa kuzuia aise sasa tena kaumiia... Hiii sio powa.Trent wangu jamani🥺
Muda huu anasikilizia maumivu
Mungu amponye haraka
Asante pamoja sana nawe pia Captain..Shukrani sana uwe na mwaka wa mafanikio sana ndugu.
YNWA
Leo kati pale Jk afumbe macho awaweke wakina Nyoni wale watege shule Leo hakuna namnaView attachment 2867035
Hawa wote [emoji115] [emoji115] [emoji115] kwa sasa hatunao kikosini...
Majeruhi hawa hapa
Matip
Domy
Thiago
Tsimikas
Trent
Robertson
Mashindano ya kimataifa
Salah
Endo.
January mechi ni nyingi sana tunahitaji bahati iwe upande wetu kuvuka salama bila kuongeza majeruhi wapya.
YNWA
Dogo baada ya kulalamikwa mno ameanza kuongeza bidii positioning yake wakati wa kuzuia aise sasa tena kaumiia... Hiii sio powa.
YNWA
Atakaa sawa hua hachelewi kupona yule.Maskini Trent wangu
Sasa sijui ntakuwa namuangalia nani😭
Nipeni connection nikamuuguze😭Atakaa sawa hua hachelewi kupona yule.
YNWA
Na akapoteana na kuwa mchezaji wa kawaidaKinda Martin Odergard akiwa mazoezini Liverpool na maestro Steve Gerrard aka Captain Fantastic... Enzi hizooo alikua wa motooo alikua anatikwa na klabu nyingi sanaaa
View attachment 2867047
Martin Odergard alikaribishwa Liverpool akiwa kinda kwa ajili ya kumsajili lakin aligoma baada ya Real Madrid kumshawishi zaidi kwa bahati mbaya hakupata nafasi kule na Arsenal wakamshawishi kujiunga nao mazima...
YNWA
Fulham sio powa sana wanacheza soka safi sana msimu huu. Klopp ajipange kuwazima kaunta...Leo kati pale Jk afumbe macho awaweke wakina Nyoni wale watege shule Leo hakuna namna
Kipaji anacho ni Arteta na wachezaji wenzake wajitume zaidi.Na akapoteana na kuwa mchezaji wa kawaida
Kabla hajaanza kucheza zaidi CBR alikua anacheza RB. Hivyo anamudu majukumu.Ni mrefu sana
Na nguvu anazo anazo
Walichofanikiwa ni kushika wachezaji wetu mashati na mikonoKipaji anacho ni Arteta na wachezaji wenzake wajitume zaidi.
YNWA
Kabla hajaanza kucheza zaidi CBR alikua anacheza RB. Hivyo anamudu majukumu.
YNWA
Yaani sijui kama Kuna mtu namuombea kuzidi Trent😂Maombi yako kwa sasa.
YNWA